Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Alikuwa anakabwa na mabeki 2. Issue ni wengine kushindwa kutumia hiyo kama loophole. Halafu kocha mpya anatakiwa kufanyia kazi pressing. Ukiacha Mount na Odoi, James na Kante kwa uchache wengine hawana ile pressure kuelekea kwenye box la adui.

Timu iachane na backpasss, hazilipi. Ball possession ni nzuri ila ball possession by back passing ni moot!
We uliona backpass mkuu??
 
Alikuwa anakabwa na mabeki 2. Issue ni wengine kushindwa kutumia hiyo kama loophole. Halafu kocha mpya anatakiwa kufanyia kazi pressing. Ukiacha Mount na Odoi, James na Kante kwa uchache wengine hawana ile pressure kuelekea kwenye box la adui.

Timu iachane na backpasss, hazilipi. Ball possession ni nzuri ila ball possession by back passing ni moot!
Ndio kwanza amekuwa n wachezaji ndani ya siku moja mnategemea kweli wachezaj watafata mchezo wake mwanzo mwisho

Kadri siku zinavyozidi kwenda ndio watakavyozidi kubadilika,
Ila ustegemee ndani ya mech 1 wachezaj watakuwa washamaster uchezaji wa tuchel.
 
Niliuliza dhidi ya wolvs, ila cjui back pass ww unavyotafsir na mm navyotafsiri pengine ni tofauti.
Back pass ni pale unaenda mbele unafika karibu na box, ukibanwa kidogo badala ya kujaribu kuingia unarudisha nyuma kwa beki mnaanza kupanga upya mashambulizi. Chelsea wanapenda sana hii na hata kwa wolves wamepiga sana hii mpaka dakkka za mwishoni kipindi cha pili ndio wakaanza kusukuma ngoma.

Wolves wao walikuwa wakikaribia box wanaongeza kasi na kujaribu kuingia
 
Ndio kwanza amekuwa n wachezaji ndani ya siku moja mnategemea kweli wachezaj watafata mchezo wake mwanzo mwisho

Kadri siku zinavyozidi kwenda ndio watakavyozidi kubadilika,
Ila ustegemee ndani ya mech 1 wachezaj watakuwa washamaster uchezaji wa tuchel.
Sijasema hivyo. Nimesema ni tatizo anapaswa kulifanyia kazi. Unless unekosea kunukuu!
 
Michezo yote Chelsea mwaka huu wanapiga sana back pass. Uliona Wolves walivyokuwa wana press once wakikaribia box? Linganisha na Chelsea!
Backpass ni sehemu ya game strategy. Pamoja na backpass, kocha anatakiwa amwage mbinu ili wachezaji pamoja na backpass waweze kupenetrate na kuleta magoli. Timu zote kubwa na mabingwa wana backpasses kama strategy ya kushambulia kwa plan B. Timu isipojua kucheza back passes na sideway passes inaweza fungwa counter za hatari sana. Kumnyima adui mpira ni njia ya kujilinda kushambuliwa. Back passes ndio njia sahihi ya kuhakikisha adui hapati mpira. Udhaifu pekee ni kukosekana ubunifu wa kuvunja ngome na kufunga magoli kama wanavyofanya Man city. Watacheza backpasses huku wakitafuta mwanya na wakipata wanautumia vizuri. Huku Chelsea wachezaji ni waoga. Hata nafasi zikitokea unaona hao wanarudisha mpira nyuma. Hapo ndipo penye shida
 
Backpass ni sehemu ya game strategy. Pamoja na backpass, kocha anatakiwa amwage mbinu ili wachezaji pamoja na backpass waweze kupenetrate na kuleta magoli. Timu zote kubwa na mabingwa wana backpasses kama strategy ya kushambulia kwa plan B. Timu isipojua kucheza back passes na sideway passes inaweza fungwa counter za hatari sana. Kumnyima adui mpira ni njia ya kujilinda kushambuliwa. Back passes ndio njia sahihi ya kuhakikisha adui hapati mpira. Udhaifu pekee ni kukosekana ubunifu wa kuvunja ngome na kufunga magoli kama wanavyofanya Man city. Watacheza backpasses huku wakitafuta mwanya na wakipata wanautumia vizuri. Huku Chelsea wachezaji ni waoga. Hata nafasi zikitokea unaona hao wanarudisha mpira nyuma. Hapo ndipo penye shida
Kama umenielewa sio kwamba nakataa timu isipige mipira ya nyuma. Ila hiyo inapokuwa escape route kila ukibanwa badala ya kushambulia inakuwa ni udhaifu mkubwa. Chelsea hawafungi sana si kwa sababu ya washambuliaji au viungo wabovu. Ila hawana winning strategy. Wakikabwa kidogo tu wana back off. Tofauti ipo kwa baadhi ya Wachezaji kama Mount. Wao hujaribu kuvunja defense ya wapinzani na ndio kinachokosekana na ndicho ninakosoa. Tafuta clip ya mechi yeyote ya Chelsea msimu huu. Haitachukua hata dk 15 kuona ninachokisema.

Huwa wananiboa sana hii kitu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom