computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,039
[emoji204][emoji204][emoji205][emoji204][emoji205]Kwa hiyo Benchmark yako ilikuwa Chelsea???, you are sick
[emoji204][emoji204][emoji205][emoji204][emoji205]Kwa hiyo Benchmark yako ilikuwa Chelsea???, you are sick
Bado mnawaza kusajili, hamjakoma tu? huyu Werner mungu anamuona[emoji3][emoji3]3 Summer signing for Tuchel
- Dayot Upamecano (CB) - Leipzig
- David Alaba (CB, LB) - Bayern Munich
- Erling Haaland (Striker) - Borussia Dortmund
Hii timu ina vituko sn, ni sawa na Edu Gaspar apashe tizi ili naye acheze pale Gunners [emoji38][emoji23][emoji1487]Petr Cech kumbe alishapata fitness ya kutosha kwenye U23 team? Imebaki tu kupewa Minutes na Tuchel
View attachment 1689861
Lampard ni nani? Kuwa na shukrani wewe. Hata kama hakuifikisha timu ilipotarajia kuwako mpaka sasa, Lampard kafanya kazi nzuri sana. Rudi nyuma alikoitoa timu utajua. Anyway binadamu ndivyo tulivyo!Tuchel yuko vzr, huwezi mfananisha na chizi Lampard
Tatizo la Lampard kubwa alishaingia kwenye msuguano na wachezaji, Hata Mou katupa makombe lakini ilipofika kwenye ugomvi na wachezaji alipotea, 2016 Chelsea na ubora wake ilishika namba 10Lampard ni nani? Kuwa na shukrani wewe. Hata kama hakuifikisha timu ilipotarajia kuwako mpaka sasa, Lampard kafanya kazi nzuri sana. Rudi nyuma alikoitoa timu utajua. Anyway binadamu ndivyo tulivyo!
Mkuu Lampard kama mchezaji sina tatizo nae ila Lampard kama kocha hakufanya chechote pale ChelseaLampard ni nani? Kuwa na shukrani wewe. Hata kama hakuifikisha timu ilipotarajia kuwako mpaka sasa, Lampard kafanya kazi nzuri sana. Rudi nyuma alikoitoa timu utajua. Anyway binadamu ndivyo tulivyo!
Ninachokataa ni simple. rudia tu kusoma nilichoandika utanielewa!Tatizo la Lampard kubwa alishaingia kwenye msuguano na wachezaji, Hata Mou katupa makombe lakini ilipofika kwenye ugomvi na wachezaji alipotea, 2016 Chelsea na ubora wake ilishika namba 10
Hata kwa level ya kocha ametutoa pabaya. Rudia kupitia historia!Mkuu Lampard kama mchezaji sina tatizo nae ila Lampard kama kocha hakufanya chechote pale Chelsea
Kaitoa wapi timu? aliipandisha daraja au? mpuuzi mmoja tu yule.Lampard ni nani? Kuwa na shukrani wewe. Hata kama hakuifikisha timu ilipotarajia kuwako mpaka sasa, Lampard kafanya kazi nzuri sana. Rudi nyuma alikoitoa timu utajua. Anyway binadamu ndivyo tulivyo!
Mkuu, japo tulifungiwa usajili ila hatukuwa na kikosi kibayaHata kwa level ya kocha ametutoa pabaya. Rudia kupitia historia!
Dah! Basi sawa!Mkuu, japo tulifungiwa usajili ila hatukuwa na kikosi kibaya
kwa kutumia wachezaji wale, kocha yeyote mzuri angefanya alichokifanya Lampard na zaidi
Sawa sawa 🤦♂️Kaitoa wapi timu? aliipandisha daraja au? mpuuzi mmoja tu yule.
Mimi nakuunga mkono ndg, Lampard kwa uchanga wake kwenye ukocha kafanya vizuri mwaka wake wa kwanza. Kaikuta timu ikiwa kwenye BAN, mchezaji muhimu kama Hazard kaondo. Timu ilikuwa imepwaya. Kaweza kuunga unga timu kwa kutumia academy na kuleta matokeo mazuri ambayo kila shabiki na managementi nzima ya Chelsea waliridhika. Msimu huu kavuruga kwa kukosana na wachezaji mpaka wakaanza kumgomea kucheza vizuri.Ninachokataa ni simple. rudia tu kusoma nilichoandika utanielewa!
Hii ni fair analysis.Mimi nakuunga mkono ndg, Lampard kwa uchanga wake kwenye ukocha kafanya vizuri mwaka wake wa kwanza. Kaikuta timu ikiwa kwenye BAN, mchezaji muhimu kama Hazard kaondo. Timu ilikuwa imepwaya. Kaweza kuunga unga timu kwa kutumia academy na kuleta matokeo mazuri ambayo kila shabiki na managementi nzima ya Chelsea waliridhika. Msimu huu kavuruga kwa kukosana na wachezaji mpaka wakaanza kumgomea kucheza vizuri.
Umeongea vizuri, mana kwenye kikosi alichokabidhiwa lampard kilitoka kubeba FA kama sikosei, mchezaji mmoja tu ndio aliuzwa Hazard. Sasa mtu anaposema alitutoa tulikua wabovu nakua simuelewi.Mkuu, japo tulifungiwa usajili ila hatukuwa na kikosi kibaya
kwa kutumia wachezaji wale, kocha yeyote mzuri angefanya alichokifanya Lampard na zaidi
Kwa wanaojua mpira, Hazard kuondoka ilitosha kuvuruga ile timu ya Europa. Manure kaja mchezaji mmoja tu sasa wako kilelen9i mwa ligi, Akiondoka Bruno Hakuna timu pale. So Chelsea aliyokabidhiwa Lampard ilikuwa mbovu bila Hazard. Yeye pekee ndie aliyekuwa na uwezo wa kufikisha double dijits kwenye magoli na Assists. Mpaka sasa hatuna mchezaji mwenye uwezo huo ndio maana tunasota huku mid table. Chelsea ya Europa ilijengwa kwenye cornerstone ya Hazard. Ukweli ndio huo ndg. Hata urembe namna gani Chelsea Ya Europa na ile aliyokabidhiwa Lampard ni tofauti kabisaUmeongea vizuri, mana kwenye kikosi alichokabidhiwa lampard kilitoka kubeba FA kama sikosei, mchezaji mmoja tu ndio aliuzwa Hazard. Sasa mtu anaposema alitutoa tulikua wabovu nakua simuelewi.