permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 12,431
- 15,221
Rudi jukwaa la Man Utd wajumbe wanakusubiri kwa mahojiano.Mufungwe tu haina jinsi
Rudi jukwaa la Man Utd wajumbe wanakusubiri kwa mahojiano.Mufungwe tu haina jinsi
Pass nyingi lakini mmaliziaji hakuna,kama angekuwepo mtu kama Cavan jana angepiga hat trick
Na nyie mnajua mlikua mnaongoza ligi lakini mmeporomoka hamjulikani mlipo? Na mmepshana na hao hao arsenal kw point 4 tu.
Yani kwa mpira wa jana timu ilikuwa shapu sana,odoi anamwaga maji lakini mmaliziaji tatizo,pale angekuwa dany Ings,jimenez au imobile goli zilikuwa nyingiHiyo case ya umaliziaji ni tatizo sugu tangu enzi za Lampard pass milioni hakuna goli, crosses milioni hakuna goli.
TT anatakiwa alifanyie kazi kwa haraka, magoli yapatikane.
@Don Clericuzio kesho uko na spurs, malizana nae kwanza halaf uje
Jiangalie tusije kukuta hapo ulipo
Mbona hajapiga hata moja kule mmepondwa na wachovu wa ligiPass nyingi lakini mmaliziaji hakuna,kama angekuwepo mtu kama Cavan jana angepiga hat trick
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Ila wakiendelea kucheza kwa kiwango kile, Werner atafunga magoli mengi, Havertz, Odoi, Ziyech, Mount hata Kova atafunga. Pulisic jana bado yuko yuko tu, OG kasi itamshinda ya TTHiyo case ya umaliziaji ni tatizo sugu tangu enzi za Lampard pass milioni hakuna goli, crosses milioni hakuna goli.
TT anatakiwa alifanyie kazi kwa haraka, magoli yapatikane.
Mkuu vipi Ole kishakua OUT?Man U akifungwa na Shefield United Ole Out
Hiv uliona namna wolves walivyokuwa wanakaba ukiangalia kikosi Chao walicheza bila striker wote wanarudi nyuma na kubana space zote kwa style hiyo goal lingetokea wapi? Ifike kipindi tuwaheshimu wapinzani lakini pia kipa wao kawaokoa alifanya wonderful savesHiyo case ya umaliziaji ni tatizo sugu tangu enzi za Lampard pass milioni hakuna goli, crosses milioni hakuna goli.
TT anatakiwa alifanyie kazi kwa haraka, magoli yapatikane.
Hakuwa chaguo namba mojaTuchel 'very happy' with Chelsea debut despite goalless draw vs Wolves
"I enjoyed it a lot because I was very happy with the intensity, the attitude, energy and quality of my team, we were well organised, had a lot of ball recoveries in the last third, never lacked intensity," Tuchel explained to BBC Match of the Day after the final whistle.
'We stepped up minute after minute in the second half. I was very happy performance-wise, unfortunately we couldn't score, if we take care of our performance like this the results will come.
Hii inaweza kuwa hali kuweka mazingira sawaTuchel adai anammind sana OG, tutegemee atampa mechi nyingi zaidi ya Tammy na Werner
Alikuwa anakabwa na mabeki 2. Issue ni wengine kushindwa kutumia hiyo kama loophole. Halafu kocha mpya anatakiwa kufanyia kazi pressing. Ukiacha Mount na Odoi, James na Kante kwa uchache wengine hawana ile pressure kuelekea kwenye box la adui.Tuchel adai anammind sana OG, tutegemee atampa mechi nyingi zaidi ya Tammy na Werner
Kama rangnick angekubali kama kocha wa mda basi summer tulikuwa tunamchukua Nagelsmann
Alichemka sana kumweka benchi Mount. Kwa sasa Chelsea inamtegemea sana Mount kwa kusukuma mashambulizi. Unaona tofauti kabisa alipoingia!Hii inaweza kuwa hali kuweka mazingira sawa
Ila kiuhalisia werner ndie atakayetumika sana labda awe anazingua
Sababu mojawapo ya kutafuta german coach ilikuwa ni kuweza kuwarudisha katika viwango vyao werner na havertz
Chilwell ni pancha yule tumtumie alonso for the time being..!Chiwell alikua anafanya kusudi. Akiona vipi amfuate Lampard alipokwenda.