Kwa hiyo angekwepo ndio angecheza mwenyewe ashinde au?Katika wote nilimlenga huyo kwakua ndiye forward wao wa kuaminika. Traore asingekaa kule kama SS
Kwa hiyo angekwepo ndio angecheza mwenyewe ashinde au?Katika wote nilimlenga huyo kwakua ndiye forward wao wa kuaminika. Traore asingekaa kule kama SS
Mpira uko hivyo na pia mpira hauko hivyo. Hii ni ishu ya pande mbili zinazocomplement each other, hazipingani.Mpira ungekuwa uko hivyo basi kuna timu zingekuwa azishindi bro
Villa tumedraw nae, je we villa alikufunga ngapi na we ukaja kunifunga ngapi,
Soccer ni chance na pale unapozitumia unakuwa na probability ya kushinda na pale unaposhindw kuzitumia unaprobability ya kulose hiyo game
Sifananishi squad depth, ila alternativ ya kucheza bila striker wakoUnalinganisha squad depth ya city na wolves?
Squad depth ya city inafaa kufananishwa na chelsea tu kwa uingereza.
Bado hujafikia uenyeji wa kunihoji. Subiri uwe expert member.Kwa hiyo angekwepo ndio angecheza mwenyewe ashinde au?
Kwa nini uzungushe, wewe mahesabu yalikuwa yanakutoa knockoutBurnley kampiga villa tatu leo. Na alianza kuongozwa.
Nyinyi mlimpiga ngapi villa?
Pambana na hali yako mkuu maana hamko salamaNyie jamaa mnajua kama mko sawa na Arsenal kwa points?
Leo Silva na Otasowie hawajaingia kabisa. Otasowie alikua crucial katika ushindi wa siku ile.Sifananishi squad depth, ila alternativ ya kucheza bila striker wako
Wamespend 30M kwa fabio silva, walikuwa na cutrone
Ila round 1 wametufunga na kikosi hicho hicho tofaut iliyokuwepo ile siku alianza fabio silva badala ya traore
Hajui kama yupo nafasi ya sita na ana game na spurs kisha west ham.Pambana na hali yako mkuu maana hamko salama
Hawawezi.Man U akifungwa na Shefield United Ole Out
Hiyo ni gameplan ya kocha, anapohisi anataka nini kwenye mech husikaLeo Silva na Otasowie hawajaingia kabisa. Otasowie alikua crucial katika ushindi wa siku ile.
Wakina england,kerr,ji kule wsl wanakiwasha sanaChelsea ya wadada msimu huu ina balaaa mnoo...
Hata hawa kina kai wenu sidhani kama wanatoka kw wale kin kerr[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
@Don Clericuzio kesho uko na spurs, malizana nae kwanza halaf ujeNyie jamaa mnajua kama mko sawa na Arsenal kwa points?
Speculation za ajabu kweli😀...kwahyo Namibia kule Cameroon ni hatari kwelikweli coz wametoka suluhu na Zambia aliyetufunga sio😀Burnley kampiga villa tatu leo. Na alianza kuongozwa.
Nyinyi mlimpiga ngapi villa?
Huwezi amini sijakuelewa. Ama ni maelezo hayajanyooka au hizo emoji.Speculation za ajabu kweli😀...kwahyo Namibia kule Cameroon ni hatari kwelikweli coz wametoka suluhu na Zambia aliyetufunga sio😀
Na nyie mnajua mlikua mnaongoza ligi lakini mmeporomoka hamjulikani mlipo? Na mmepshana na hao hao arsenal kw point 4 tu.Nyie jamaa mnajua kama mko sawa na Arsenal kwa points?
Wewe huwafuatilii, misimu yote wako moto, katika miaka 7 ya hayo mashindano ya ligi ya EPL wanawake Chelsea kabeba ndo mara 4 na mwaka huu akibeba ni mara ya 5,Chelsea ya wadada msimu huu ina balaaa mnoo...
Hata hawa kina kai wenu sidhani kama wanatoka kw wale kin kerr[emoji1787][emoji1787][emoji1787]