Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wamecheza vizuri, ulegevu leo haukuwepo, wamekuwa sharp kurecover mpira ukipotea. Hata Havertz leo kachangamka. Shida aliyonayo Tuchel ni kutotumia mbinu zile haramu kama counter na long balls njia za kawaida zilifeli kuleta matokeo. Pep na Mancity hata waposess 90%, wakipata mwanya wa counter wanaitumia vizuri sana hata Liverpool nao wanatumia sana counter. Ni Chelsea tu wamewaiga Arsenal
 
Leo Wolves waliamua kujilinda tu

1611778770919.png
 
Our counterpressing leo ilikuwa vizur kuanzia mwanzo mwa mchezo mpak mwisho,

Havertz leo alikuwa yuko vizuri nitofauti na yule nayecheza siku zote, nadhni perfomanc yake ya leo ndio bora tangu aje
 
Leo tumecheza vizuri Sana team inafanya movement za haraka sio Kama Lampard na Ina press vizuri Sana tumedominate mpira kwa kiasi kikubwa tumeshambulia Sana kiufupi bahati haikuwa yetu wolves hawana hata on target 1 zaidi ya kukaba tu na kipa wao amewaokoa Sana na ndio kwa mtazamo wangu anafaa kuwa man of the match.
 
Game yenu ilikua burudani kuiangalia. Pasi, kufanya pressing na runs zilikua poa.

Ila nilikua napiga dua wolves iachie mpira fasta kwenda mbele ili wawapasue dua imegonga mwamba.

Kifuatacho ni kuombeana mabaya tu.
 
Burnley kampiga villa tatu leo. Na alianza kuongozwa.

Nyinyi mlimpiga ngapi villa?
Mpira ungekuwa uko hivyo basi kuna timu zingekuwa azishindi bro

Villa tumedraw nae, je we villa alikufunga ngapi na we ukaja kunifunga ngapi,

Soccer ni chance na pale unapozitumia unakuwa na probability ya kushinda na pale unaposhindw kuzitumia unaprobability ya kulose hiyo game
 
Katika wote nilimlenga huyo kwakua ndiye forward wao wa kuaminika. Traore asingekaa kule kama SS
Anamech ngapi amekosa sasa?? Ingekuwa ni mech yetu ya leo tu tungesema wolves wanammis jimenez ila pale inapovuka 10games najua tim huwa ishazoea kucheza bila yeye

Ni sawa sawa na city wanagame nyingi tu msim huu wanacheza bila aguero n jesus ndio ila angalia matokeo wanayoyapata, makocha huwa wanatafuta alternativ ya kucheza bila flan hasa pale wanapokosekana kipindi kirefu
 
Leo tumecheza vizuri Sana team inafanya movement za haraka sio Kama Lampard na Ina press vizuri Sana tumedominate mpira kwa kiasi kikubwa tumeshambulia Sana kiufupi bahati haikuwa yetu wolves hawana hata on target 1 zaidi ya kukaba tu na kipa wao amewaokoa Sana na ndio kwa mtazamo wangu anafaa kuwa man of the match.
Ndio kwanza tuchel kafanya nao training ndani ya siku 1 ila kuna vitu vimeonekana katika uchezaj wetu

Hii game ingekuwa ni lampard tulikuwa tunapoteza.
 
Wamecheza vizuri, ulegevu leo haukuwepo, wamekuwa sharp kurecover mpira ukipotea. Hata Havertz leo kachangamka. Shida aliyonayo Tuchel ni kutotumia mbinu zile haramu kama counter na long balls njia za kawaida zilifeli kuleta matokeo. Pep na Mancity hata waposess 90%, wakipata mwanya wa counter wanaitumia vizuri sana hata Liverpool nao wanatumia sana counter. Ni Chelsea tu wamewaiga Arsenal
Shida aliyonayo ipi? ndio kwanza kachukua timu jana. Hilo swala la plan B, C litakwepo tu. Kwa jins chelsea walivyocheza tu inaonyesha TT ni bora mara 800 kuliko kubwa jinga Lampard.
 
Anamech ngapi amekosa sasa?? Ingekuwa ni mech yetu ya leo tu tungesema wolves wanammis jimenez ila pale inapovuka 10games najua tim huwa ishazoea kucheza bila yeye

Ni sawa sawa na city wanagame nyingi tu msim huu wanacheza bila aguero n jesus ndio ila angalia matokeo wanayoyapata, makocha huwa wanatafuta alternativ ya kucheza bila flan hasa pale wanapokosekana kipindi kirefu
Unalinganisha squad depth ya city na wolves?

Squad depth ya city inafaa kufananishwa na chelsea tu kwa uingereza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom