Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,667
- 2,619
Hii ni Futuhi.Thomas tuchel ni Kocha mwenye uwezo mdogo na mbinu ndogo jiulizeni kafundisha PSG na wachezaji waviwango vya dunia di Maria mbappe Neymar icardi verrati lkn hovyo jiulizeni anakuja Chelsea kumfundisha Abrahamkaravati kepa Mendy
![]()
PSG hata akienda Moyes au Mwambusi kuchukua ndoo lazima



