juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Hata mimi, I feel sorry for him,Mm ni mmoja wao nilipenda sana Lampard afukuzwe ila baada ya kufukuzwa nimemuonea huruma sana. Hii ni kutokana na yale amefanya akiwa mchezaji
Hakuna wachezaj waliopata pigo kama wakina mount,tammy,,gilmour,cho na james
hawez big game! big NO. aliifunga bayern kipind akiwa mainz 04 ndo alipopatia jina ad la kufundsha tm kubwa

