Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mm ni mmoja wao nilipenda sana Lampard afukuzwe ila baada ya kufukuzwa nimemuonea huruma sana. Hii ni kutokana na yale amefanya akiwa mchezaji
Hata mimi, I feel sorry for him,

Hakuna wachezaj waliopata pigo kama wakina mount,tammy,,gilmour,cho na james
 
Hana mfumo maalumu,
Hawezi BIG games, Akiwa Dotmund na baadaye PSG
PSG ni uwezo binafsi ya akina Neyman, Mbape na Dimaria ndio ilimfunika
Kumbuka UEFA nafikiri mwaka jana alifungwa na academy wa Man U
Ni kocha asiyejali hata akipata matokeo mabaya
Hatakawia kugombana na wachezaji

Kwa hiyo anaweza akatufaa msimu huu tu kugombea top 4 ila msimu ujao kiberiti chake kitakuwa kimeshajaa
hawez big game! big NO. aliifunga bayern kipind akiwa mainz 04 ndo alipopatia jina ad la kufundsha tm kubwa
 
Uchebe atawafaa kuendeleza pale super Frankie alipoishia ?
Si kweli ndugu zangu ?

Mpaka aje kocha mpya aweke falsafa zake, apate first 11 Yake ,,,Ni March na april huko ,,,, mtapoteana mpaka muombe poo
Kuanza upya/0 ktk maisha si ushamba bali kukumbatia furushi la mavi na misumari kinafki linalokuchafua kwa maumivu ni dhambi isiyosameheka milele.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Thomas tuchel ni Kocha mwenye uwezo mdogo na mbinu ndogo jiulizeni kafundisha PSG na wachezaji waviwango vya dunia di Maria mbappe Neymar icardi verrati lkn hovyo jiulizeni anakuja Chelsea kumfundisha Abraham karavati kepa Mendy
Bado tutafukuza tu hata wewe ukija na Ole Sendeka wako tutafanya hivyo hivyo, kafukuzwa Special One/J Mourinho ije kuwa Tuchel?

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Hii sasa ndiyo chelsea ninayoijua. Ni kufukuza tu ili kuhakikisha hawakimbiwi na maplastiki yao.
Hahaaaa...like father like son, jinsi ilivyo timu Chelsea kiuhalisia ndivyo jinsi Mashabiki zake tulivyo, tukitingishwa kidogo tu hata mechi hatuangalii ila tukianza mbwembwe za ushindi kama Man U tena tunajaa tele hapa

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Klopp ana Champion League na Club World Cup kuwa na Heshima na Klopp usimfananishe na Mpuuzi aliyeshindwa Champion League akiwa na Mbappe, Neymar, Di Maria na Veratti.
Sasa subiri akapambane CL akiwa na Abraham na Joginho.
Sometimes bahati huwa inamata ktk maisha, huyo Klopp wenu hakushindwa kunyanyua ndoo ya UEFA alipokuwa BD fainali dhidi ya B.Munich? Acha Tuchel ajaribu nyota yake huwezijua labda nyota ikang'aa kama ilivyokuwa kwa Kocha V.A Boas 2012 akiwa kocha msaidizi wa Chelsea FC.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Tuchel ameishindwa psg yenye kila kitu ataiweza Chelsea ???

League 1 Ni sawa na championship tu pale England ,,,, !!!

Time will tell , Hana jipya huyu mjerumani
Hata waropokaji na manabii uchwara siku hizi mnatetewa haki zenu na mashirika ya "haki sawa" so endelea kujipongeza kwa haki zako Chifu.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Hata waropokaji na manabii uchwara siku hizi mnatetewa haki zenu na mashirika ya "haki sawa" so endelea kujipongeza kwa haki zako Chifu.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Umeongea kwa uchungu sana mkuu,,, anyway muda utasema!!! Hired to be fired!!!

I feel sorry for super Frankie,,,, all the best for him, and his career!!!
 
"IN FRANK WE TRUST - Then. Now. Forever." Hiyo ni banner mpya iliyowekwa pale Darajani na kuonekana katika mchezo dhidi ya Luton. Watu mbalimbali wanaamini kuwa Lampard hakupaswa kufukuzwa mapema namna hii, ata boss mwenyewe kasema ulikuwa ni uamuzi mgumu mno.

Binafsi nilipenda sana hili jambo litokee, unajua baada ya kupata taarifa hizi sikuamini kabisa toka kwa mtu alie niambia. Ila baada ya kudhibitisha kuwa ni kweli ghafla nilimuonea huruma Lampard hii huenda ni kutokana na u legend wake.

Naam ni dhahiri kuwa Lampard ilipaswa afukuzwe, ila kitendo cha kumleta Thomas Tuchel kuchukua nafasi ya Lampard ni kuonyesha kuwa Chelsea wanakurupuka sana. Niseme hapa hapa mapema kabisa ili kwa baadae msije mkasema Chelsea ina plastiki fans, huyu Tuchel HAFAI kuifundisha Chelsea. Hakuna kocha mle ni utopolo kabisa.

Kocha anaetufaa kwa soka la sasa ni Julian Nagelsmann, huyu Nagelsmann ni kocha sahihi hasa kwa soka la kileo. Japo kuna taarifa kuwa hapatikani kwa sasa mpaka mwishoni mwa msimu huu, kama hizo taarifa ni kweli basi Lampard asingefukuzwa mpka mwisho wa msimu kicha akachukuliwa Nagelsmann. Real Madrid nao naona wanamtaka huyo kocha.

Ila hapa kwa Tuchel hakuna kitu kabisa
Usiwaze maana timu yetu huwa haibabaiki kwa kumuangalia mtu usoni zaidi ya mafanikio ya makombe tu, tuombe uzima hata kama hafai bado tutamfukuza tu na kumleta Kocha mwingine hadi kitapoeleweka.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Kamwe sijutii kufukuzwa kwa Lampard na nina furaha sana leo hadi sijalala mpaka muda huu 01:47, wakati mwingine maamuzi magumu huja na faida, nani alijua Chelsea ingechukuwa mabingwa wa UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2012 chini ya Kocha msaidizi Roberto Di Matteo?

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Japokuwa nmefurahi FL kuondoka lkn nmemuonea huruma ila ndo mpira ulivyo, japokuwa Chelsea ilifanya makosa kumleta FL akiwa hana uzoefu wa timu kubwa ila ningependelea angeachwa ad mwisho wa msimu huu ili kocha mpya aje kuanza upya kabisa.

Tuchel nae sina imani nae sana mana ametoka kwenye ligi isiyokuwa na ushindani mkubwa (kwa upande wangu, PSG na dort au Ufaransa, Italy na Ujerumani sio ligi mzito) lakini tusubiri tuone mana Conte nae alikuja na moto na kutupa makombe misimu yote miwili aliyokuwepo Chelsea.
 
Angechukuliwa Nagelsmann kufundisha chelsea yeye akiwa kama aliyeunlock potential ya Werner mnadhani angemuweka mbele peke yake?

Sasa mbona mnapredict kwamba Werner kiwango kitapanda kwa kuchezeshwa 4 2 3 1? Atakua anarudia mambo ya lampard.

Katika timu kuna ile akija kocha mpya timu inaanza kuperform sometimes hata mchezaji mpya akija hua hivyo kisha honeymoon inaisha mnarudi mlipotoka. So games kadhaa za mwanzo zisiwafanye mumtukane frank vumilieni hadi baadaye.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom