lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,489
Kuna sehemu huko nyuma kama juzi hivi niliwachambua hao makochaUbovu wake Ni up?
Kuna sehemu huko nyuma kama juzi hivi niliwachambua hao makochaUbovu wake Ni up?
Kasoro za Tuchel,Watatu hawa kumridhi Lampard, Mazungumzo ya kumtimua yameanza
Madai ni kwamba Lampard kapewa muda na hakuna hata dalili za mbinu zake kuleta matunda yeyote pale darajani
- Tuchel - Katika timu kubwa alishaifundisha Dotmund miaka miwili na PSG miaka miwili na nusu ligi ya wakulima wining %age ni 74 akiwa PSG
- Allegri amefundisha muda mrefu vitimu vidogo, Juve kifundisha miaka 5 na wining %age ya 70% akiwa Juve
- Avram Grant - Hana uzoefu wowote zaidi ya kuifundisha Chelsea 2007/8 na Westham 2010/11. Hakutoka Chelsea vizuri kwani wachezaji hawakumpenda kwa sababu ufundishaji wake ni wa kizamani mno miaka 25 iliyopita na hakuwa na mbinu zozote za kisasa kwa wakati huo wa 2007/8. Sasa tuko 2021, si atakuja na mbinu za miaka 40 iliyopita?
Hana mfumo maalumu,Ubovu wake Ni up?
Hahahaha Ngoja tuwape Lampard fukuzeni klopp mapemaNawasalimia Ndugu! Mpaka sasa tumo ndani ya Jahazi moja, Lini tutakaa kikao pamoja kujadili kumrudishia Arsenal Kijiti chake?
Sari alikuwa Hana hata kombe la m buzi lakini kaja kupata kombe kubwa Chelsea kitu ambacho nakipenda kwa Thomas Tuchel Ni kocha mzuri kimbinu na ndio tunachokitaka na wachezaji wa maana mbona kombe atapata.Kasoro za Tuchel,
Kwanza katoka ligi ndogo isiyo na ushindani
Hajawahi kuwa na exposure kama ya akina PEP, MOU, KLOP na makocha wengine
Hajawahi kufundisha timu muda mrefu na ni mbishi
Hana mfumo maalumu na kwa hiyo ni rahisi kuwachanganya wachezaji na management
Unavyosema anabebwa na wachezaji labda uangalii mpira vizuri zaidi ya kuwaangalia Neymar, Mbappe na Di maria.Jambo la pili unavyosema hawezi against big team uoneshe kacheza big team ngapi na matokeo kapataje?Hana mfumo maalumu,
Hawezi BIG games, Akiwa Dotmund na baadaye PSG
PSG ni uwezo binafsi ya akina Neyman, Mbape na Dimaria ndio ilimfunika
Kumbuka UEFA nafikiri mwaka jana alifungwa na academy wa Man U
Ni kocha asiyejali hata akipata matokeo mabaya
Hatakawia kugombana na wachezaji
Kwa hiyo anaweza akatufaa msimu huu tu kugombea top 4 ila msimu ujao kiberiti chake kitakuwa kimeshajaa
Kwani Sari alifanya vizuri na booring football yakeSari alikuwa Hana hata kombe la m buzi lakini kaja kupata kombe kubwa Chelsea kitu ambacho nakipenda kwa Thomas Tuchel Ni kocha mzuri kimbinu na ndio tunachokitaka na wachezaji wa maana mbona kombe atapata.
Alifukuzw PSG ikiwa ya Tatu na haijawahi kutokea ni kwake tuUnavyosema anabebwa na wachezaji labda uangalii mpira vizuri zaidi ya kuwaangalia Neymar, Mbappe na Di maria.Jambo la pili unavyosema hawezi against big team uoneshe kacheza big team ngapi na matokeo kapataje?
Si alibeba ueropa leagueKwani Sari alifanya vizuri na booring football yake
Hili lijamaa si lilifeli psg? Ndo limekuja Darajani? Hivi mgt ya Chelsea inaongozwa na nani??CHELSEA FC TUTAWEZANA NA TUCHEL?
Pamoja na Tuchel inasemekana ni kocha mzuri sana mwenye mbinu mchanganyiko zinazofanana kiasi kidogo na Klopp na Pep, jamaa amekuwa akishindwana na waajiri wake na kupelekea kufukuzwa:-
1. Sifa kuu za huyu jamaa ni MTATA na MKAIDI hataki kuingiliwa majukumu yake haswa kwenye swala la usajili, huwa anataka kuletewa wachezaji anaowahitaji na sio bodi inaowahitaji.
Tujikumbushe case yetu na kocha CONTE alivyosuguana na management kuhusu swala la usajili alimtaka Lukaku management ikamletea Morata.
CONTE alitaka kuhusika moja kwa moja katika swala la usajili Chelsea, matokeo yake ilikuwa mvurugano na akatupiwa virago nje.
TUCHEL na CONTE ni mapacha kwa aina ya tabia zao za UKAIDI, UJEURI, UTATA
Je Chelsea tutawezana na TUCHEL? Majibu tutayapata akianza kandarasi yake, ila ni bonge la Kocha.
View attachment 1686082
Tumpe nafasi Tuchel labda nyota yake itang'ara zaidi Chelsea. Wacha alete upepo mpya. Hii ya madhaifu yake kila kocha anayo. Tufunge huu mjadala maana hataka kama ana madhaifu bodi na mwenye timu kashaamuaSi alibeba ueropa league
Wewe labda PSG uiyangalii vizuri pale PSG ukiwatowa Mbappe, Neymar na Di Maria inabaki utopolo mtupu hawana kiungo mbunifu wa kiwango Cha dunia,kiungo mkabaji hawana na ndio maana Tuchel akamtoa marquinho nafasi ya beki akampeleka centre half beki wa kulia Ni ovyo sawa na left beki nae ovyo ukiwatoa Thiago Silva hawana Tena centre defender ambaye atacheza sambamba na kimpembeAlifukuzw PSG ikiwa ya Tatu na haijawahi kutokea ni kwake tu
Sa thiago si yupo Chelsea tayariWewe labda PSG uiyangalii vizuri pale PSG ukiwatowa Mbappe, Neymar na Di Maria inabaki utopolo mtupu hawana kiungo mbunifu wa kiwango Cha dunia,kiungo mkabaji hawana na ndio maana Tuchel akamtoa marquinho nafasi ya beki akampeleka centre half beki wa kulia Ni ovyo sawa na left beki nae ovyo ukiwatoa Thiago Silva hawana Tena centre defender ambaye atacheza sambamba na kimpembe
Sasa unaanzaje kumfukuza lampard??Alafu hawa skysports hichi kitendo cha Lampard kufukuzwa naona hawajapenda kabisa labda ni kutokana na Uingereza wake maana kila mda ni habari za Lampard tu.
Hahaha chief unataka kusema Kehler siyo CB?Wewe labda PSG uiyangalii vizuri pale PSG ukiwatowa Mbappe, Neymar na Di Maria inabaki utopolo mtupu hawana kiungo mbunifu wa kiwango Cha dunia,kiungo mkabaji hawana na ndio maana Tuchel akamtoa marquinho nafasi ya beki akampeleka centre half beki wa kulia Ni ovyo sawa na left beki nae ovyo ukiwatoa Thiago Silva hawana Tena centre defender ambaye atacheza sambamba na kimpembe