Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,165
- 5,621
Tammy hajafikia viwango vya Ruud Van Nistelrooy bado. Labda mbeleni ila kwa sasa bado. Jaribu kutafuta video zake in case umesahau. Labda uelekeo wake ni kama wa Filipo Inzaghi hivi akilishwa na akina Andrea PirloWatu wanaomponda Abrahamu hebu wajikumbushe mshambuliaji wa Man U miaka ya zamani kidogo aliyeitwa Van Nestroy(kama sijakoesea uandishi wa jina). Hakuwa na mambo mengi uwanjani alikuwa kama fala vile na unaweza dhani hata uwanjani hayupo lakini ukisikia Man u kafunga ni yeye na aliwabeba sana Man U enzi za Fegie.
Mie binafsi nauona uchezaji wa Abrahamu ukishabihiana na wa huyo nguli wa Man U.
I stand to be corrected. Chelsea oyeeee,
