Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Thiago Silva has scored more league goals in 10 appearances for Chelsea (2) than he managed in his last three seasons combined for PSG (1).

His second at Stamford Bridge.

Tammy Abraham has scored 20 Premier League goals since the start of last season.

At least 10 more than any other Chelsea player in that time.
 
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 ENGLISHMEN with 20+ #PL goals from 2019/20:

34: Vardy (122)
28: Ings (132)
27: Kane (142)
24: Calvert-Lewin (161), Sterling (153)
22: Rashford (175)
20: ABRAHAM (146*)

* average minutes-per-goal

#CFC
 
Edouard Mendy keeps his 10th Chelsea clean sheet in his 16th game.

That's as many as Kepa has in 45 games since the start of last season .
 
Screenshot_20201222-054527_1608622347403.jpg
 
Huenda ikawa ni rotation coz tunacheza tena jumamosi then jumatatu tena tunacheza esp katika kipindi cha mwisho wa christmas ratiba huwa imebana unakuta mda wa kupumzika hamna inabidi tu uwatumie wachezaj wako wengine ili uweze kupata matokeo na wakati huo huo kuzuia injury
We mkuu huwa unaongeaga kiutu uzima na point kabisa. Mashabiki wote wa Chelsea tungekuwa kama wewe jukwaa lingetulia sana
 
Tujiandae kisaikolojia kuhusu Abraham kuanza mechi 5 zijazo sababu kafunga goli 2 dhidi ya Westharm Utd.

NB:

Abraham ni Lingard aliyechangamka tu, japo amefunga goli 2 leo lkn ndiye aliyekuwa anaboa uwajani kuliko wachezaji wote.

Abraham ana nyota ya kufunga lakini hana maujanja kama waliyokuwa nayo Drogba na Costa au Michael Ballack.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Huko nyuma niliwahi kusema Abraham ni in-box striker. Striker wa jinsi hii anategemea sana wapikaji wazuri. Abraha akipikiwa mipira mizuri anajua kumalizia. Tofauti na Giroud ni striker mwenye kufunga zile difficult passes. Kwa hiyo unaweza shangaa Abraham pamoja na uchezaji wake mbovu akafunga magoli mengi kuliko Giroud hata kama wakipewa muda sw. Kitu muhimu tushukuru Mungu Striker wetu wote wako kwenye form nzuri na wanafunga magoli kwa hiyo hatuna shida hata kocha akifanya rotation au sub
 
Huko numa Jorginho alikuwa anaweza cheza dk 40 bila kuchoka sasa naona ni dakiak 20 tu kashachoka
 
Nimefurahi Havertz kupewa dakika chache ili asiringe na ajitume form yake ipande
 
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
Magoli yote mawili Abraham amehusika kwenye kutengeneza move hadi kufunga
Mfano goli la pili mpira kutoka kwa Mendy, Abraham akaucheza vizuri kwa kifua kwenda kwa Mount ambaye nay alimpasia Werner na baadaye kwenda kujiposition vizuri kufunga bila ya kuotea. Goli laonekana limefungwa kirahisi lakini angekuwa Timo angeokoa au kumpa kipa aokoe
Goli la tatu Abraham kacheza pasi ya kiufundi kwa Pulisic ambaye naye alijenga shambulio vizuri sana kabla hajampa Mount aliyetumbukiza majalo mazuri ambayo kipa kaokoa na kumkuta Abraham mahali sahihi kwa muda sahihi na kufunga bila kutumia jasho

Kwa hiyo kwa Jana Mnyonge wetu Abraham apewe haki yake, kacheza vizuri sana kwenye build-up ya magoli yote mawili
 
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
Magoli yote mawili Abraham amehusika kwenye kutengeneza move hadi kufunga
Mfano goli la pili mpira kutoka kwa Mendy, Abraham akaucheza vizuri kwa kifua kwenda kwa Mount ambaye nay alimpasia Werner na baadaye kwenda kujiposition vizuri kufunga bila ya kuotea. Goli laonekana limefungwa kirahisi lakini angekuwa Timo angeokoa au kumpa kipa aokoe
Goli la pili Abraham kacheza pasi ya kiufundi kwa Pulisic ambaye naye alijenga shambulio vizuri sana kabla hajampa Mount aliyetumbukiza majalo mazuri ambayo kipa kaokoa na kumkuta Abraham mahali sahihi kwa muda sahihi na kufunga bila kutumia jasho

Kwa hiyo kwa Jana Mnyonge wetu Abraham apewe haki yake, kacheza vizuri sana kwenye build-up ya magoli yote mawili
Wanaomkataa Abraham wana mawenge, Abraham ni Bonge la mchezaji anae faa kucheza Chelsea.
 
Tammy Abraham has 20 Premier League goals for Chelsea in 32 starts.

Abraham has 24 goals in 42 starts in Premier League and UCL combined

Abraham has 30 goal contribution in 42 starts for Chelsea in Premier League and UCL
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom