Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Leo ndio nimejua jinsi gani Lampard ana akili ndogo unamrudishaje Abraham first eleven wakati West ham Wana mabeki wenye nguvu
Ngoja tuone strategy. Inawezekana ana plan. Tutajua dk chache zijazo. Usisahau kuwa yeye ni kocha anaishi na wachezaji. So ni vyema kuacha kuwa emotional mapema. Ngoja tuone game plan.
 
Hizi Lampard ana tutafuta nn hasa sisi mashabiki, hivi kweli una taka matokeo mazuri mbele ya westham unamuanzisha kubwa jinga lile li takataka Abraham kweli.!!!! Lampard ni bonge la taahira
 
Tufungwe tu, hamna namna. Tukifungwa nitafurahi usiku wangu utakua mororooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom