Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Chelsea walicheza vizuri kama dakika 20 za mwanzo na dakika kama 10 za mwishoni hapo katikati ilikuwa ni butua butua tu. Westham hawakuwa clinical kwenye umaliziaji.
Timo Werner bado anacheza kama mchezaji wa Championship kwa papara na kubutua. Hata goli la pili haikuwa assist iliyokusudiwa ni ngekewa tu mpira ulimfikia Abraham
Mason Mount ni mchezaji mwenye akili sana na Mabeki leo wametubeba kwa cleansheet
HONGERENI CHELSEA FANS KWA POINT 3 MUHIMU KUELEKEA TOP 4
Leo katikati palikufa kabisa, nafikiri partnership ya Kante na Jorginho inasababisha Kante ahangaike sana.
Huyu Timo ataanza kufunga lini? Imefikia wakati hata akishika mpira washabiki tunajua hafungi!
