Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea wanamtaka Haaland

Haaland top priority for Chelsea

Blues eye up Dortmund striker
Erling Haaland is Chelsea's top priority in next summer's transfer window, according to Sky Sport Italia.
The Borussia Dortmund striker has been in excellent form once again for the Bundesliga outfit this season, and continues to burnish his reputation at home and abroad.
But the Leeds-born Norway international is now at the top of Frank Lampard's wishlist, with the striker seen as a must-have by the Blues
 
Chelsea wanamtaka Haaland

Haaland top priority for Chelsea

Blues eye up Dortmund striker
Erling Haaland is Chelsea's top priority in next summer's transfer window, according to Sky Sport Italia.
The Borussia Dortmund striker has been in excellent form once again for the Bundesliga outfit this season, and continues to burnish his reputation at home and abroad.
But the Leeds-born Norway international is now at the top of Frank Lampard's wishlist, with the striker seen as a must-have by the Blues
Hawa ndio strikers wanaotakiwa kuvaa zeji y chelsea, haaland ukiniambia atakuja kufanya makubwa nitakuelewa mana ana kipaji, ukizubaa kidago tu kashaweka kambani. Sio ngongoti wenu hana hata anachoonyesha halafu mnasema atakuja kuwa mchezaji mzuri.
 
Chelsea wanamtaka Haaland

Haaland top priority for Chelsea

Blues eye up Dortmund striker
Erling Haaland is Chelsea's top priority in next summer's transfer window, according to Sky Sport Italia.
The Borussia Dortmund striker has been in excellent form once again for the Bundesliga outfit this season, and continues to burnish his reputation at home and abroad.
But the Leeds-born Norway international is now at the top of Frank Lampard's wishlist, with the striker seen as a must-have by the Blues
Yawapasa kutafakari. Giroud, Werner, Tammy, ... wote hawatoshi mpaka mnamtaka Haaland. Kuweni makini na mipango yenu.

Barcelona nao baada ya kupata pesa ya Neimar wakawa na ukwasi mwingi na kuanza kununua tu bila mipango thabiti; Malcom, Dembele, Griezmann, Coutinho, De Jong, ... Sasa hivi hata wakimtaka Depay hawawezi bila kuuza kwanza! Walipomtaka Dest iliwalazimu kumuuza Semedo.

Nyinyi kufungiwa yale madirisha matatu na kuwekeza kwa vijana wadogo kutoka academy kumewajengea msuli mkubwa wa kufanya manunuzi na hivyo sasa hivi mnataka kuinunua dunia nzima.

Jiangalieni.
 
Yawapasa kutafakari. Giroud, Werner, Tammy, ... wote hawatoshi mpaka mnamtaka Haaland. Kuweni makini na mipango yenu.

Barcelona nao baada ya kupata pesa ya Neimar wakawa na ukwasi mwingi na kuanza kununua tu bila mipango thabiti; Malcom, Dembele, Griezmann, Coutinho, De Jong, ... Sasa hivi hata wakimtaka Depay hawawezi bila kuuza kwanza! Walipomtaka Dest iliwalazimu kumuuza Semedo.

Nyinyi kufungiwa yale madirisha matatu na kuwekeza kwa vijana wadogo kutoka academy kumewajengea msuli mkubwa wa kufanya manunuzi na hivyo sasa hivi mnataka kuinunua dunia nzima.

Jiangalieni.
Sioni hilo dili lilifanikiwa
 
Yawapasa kutafakari. Giroud, Werner, Tammy, ... wote hawatoshi mpaka mnamtaka Haaland. Kuweni makini na mipango yenu.

Barcelona nao baada ya kupata pesa ya Neimar wakawa na ukwasi mwingi na kuanza kununua tu bila mipango thabiti; Malcom, Dembele, Griezmann, Coutinho, De Jong, ... Sasa hivi hata wakimtaka Depay hawawezi bila kuuza kwanza! Walipomtaka Dest iliwalazimu kumuuza Semedo.

Nyinyi kufungiwa yale madirisha matatu na kuwekeza kwa vijana wadogo kutoka academy kumewajengea msuli mkubwa wa kufanya manunuzi na hivyo sasa hivi mnataka kuinunua dunia nzima.

Jiangalieni.
Giroud hana maisha marefu stamford
 
Hawa ndio strikers wanaotakiwa kuvaa zeji y chelsea, haaland ukiniambia atakuja kufanya makubwa nitakuelewa mana ana kipaji, ukizubaa kidago tu kashaweka kambani. Sio ngongoti wenu hana hata anachoonyesha halafu mnasema atakuja kuwa mchezaji mzuri.
Hana maajabu ngongoti
 
Yawapasa kutafakari. Giroud, Werner, Tammy, ... wote hawatoshi mpaka mnamtaka Haaland. Kuweni makini na mipango yenu.

Barcelona nao baada ya kupata pesa ya Neimar wakawa na ukwasi mwingi na kuanza kununua tu bila mipango thabiti; Malcom, Dembele, Griezmann, Coutinho, De Jong, ... Sasa hivi hata wakimtaka Depay hawawezi bila kuuza kwanza! Walipomtaka Dest iliwalazimu kumuuza Semedo.

Nyinyi kufungiwa yale madirisha matatu na kuwekeza kwa vijana wadogo kutoka academy kumewajengea msuli mkubwa wa kufanya manunuzi na hivyo sasa hivi mnataka kuinunua dunia nzima.

Jiangalieni.
Wewe ni nani hadi uoinge mipango ya Club kubwa kama Chelsea
 
Yawapasa kutafakari. Giroud, Werner, Tammy, ... wote hawatoshi mpaka mnamtaka Haaland. Kuweni makini na mipango yenu.

Barcelona nao baada ya kupata pesa ya Neimar wakawa na ukwasi mwingi na kuanza kununua tu bila mipango thabiti; Malcom, Dembele, Griezmann, Coutinho, De Jong, ... Sasa hivi hata wakimtaka Depay hawawezi bila kuuza kwanza! Walipomtaka Dest iliwalazimu kumuuza Semedo.

Nyinyi kufungiwa yale madirisha matatu na kuwekeza kwa vijana wadogo kutoka academy kumewajengea msuli mkubwa wa kufanya manunuzi na hivyo sasa hivi mnataka kuinunua dunia nzima.

Jiangalieni.
Hapo atauzwa Giroud atanunuliwa Halaand
 
Raiola kasema Haaland anataka Uefa, mnaweza kuibeba ili kambi yake itulie?
Project tunayoiandaa sasa hivi nikuajili ya kubeba uefa na league msimu ujao Kuna baadhi ya magarasa yaliyosalia pale Chelsea yataondolewa kama jorginho,Emerson,Alonso,Mosses,bbakayoko na Christensen tutaongeza baadhi ya wachezaji wa class A wamewalenga Ni Jimenez wa ATM, Halaand,Alaba na Declan rice wa Westham.
 
Project tunayoiandaa sasa hivi nikuajili ya kubeba uefa na league msimu ujao Kuna baadhi ya magarasa yaliyosalia pale Chelsea yataondolewa kama jorginho,Emerson,Alonso,Mosses,bbakayoko na Christensen tutaongeza baadhi ya wachezaji wa class A wamewalenga Ni Jimenez wa ATM, Halaand,Alaba na Declan rice wa Westham.
Fanyeni hima overhaul isichukue muda mrefu. Mara nyingi inapochukua muda mrefu kumbadilishia kocha mpya kikosi risk ya squad unrest huwa juu ikisababishwa zaidi na expendables wa kocha huyo.

Nadhani hii kitu imewatafuna sana kwenye miaka ya karibuni sanjari na watani wenu Arsenal na pia United. Mmeanza vizuri dirisha lililopita.
 

Je Pulisic na Ziyech wakiwa wazima kabisa na kwenye form yao, unadhani Werner anaweza kuwaweka Bench akina Tammy na Giroud?

 

Je Pulisic na Ziyech wakiwa wazima kabisa na kwenye form yao, unadhani Werner anaweza kuwaweka Bench akina Tammy na Giroud?

Swali gumu Hilo ila nachoona Giroud na Abraham wamemzidi Werner kwa kuwa Ni clinical kwenye goal
 
Kesho Arsenal anafufuka


Hamtaamini kitakacho wakuta


Nyie mpo mnapost krismass


Arsenal wapo wanaandaa siraha nzito


Maana vipigo vimezidi


Camooon Arsenal



Kesho tunampiga Newcastle


Tunaingia top four


Citizen chairman
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom