Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hizi timu zilizotuuzia wachezaji ndio kwanza zinafanya vizuri kuliko wakati akina Havertz na Timo walipowemo kwenye timu hizo
Leverkusen ni ya pili point moja nyuma ya Bayern wanaoongoza ligi na Lepzig ya tatau na wamefungana point na Bayern Lerkusen wote wakiwa na points 28 ktk mechi 13
Je hii inamaanisha Havertz na Werner hawakuacha pengo huko?
 
mendy auzwe tena??
huwezi kua serious hata kidogo makosa ya mabeki lawama abebeshwe kipa?
Mendy hana shida, Chelsea shida yake kubwa tusipate points 3 ni kule mbele baada ya Ziyech kuumia na ndio maana wengine humu walisema tuingie sokoni kununua winga, Ziyech na Pulisic hawatoshei kwa sababu ya majeruhi ya mara kwa mara
 
Chelsea imeshajikatia tamaa kabla hata hawajaingia uwanjan


Semion atawamaliza
Kivipi? Athletico ni timu ya mpira wa miguu ambao matokeo yake huamuliwa dk 90. So tunasubiri game. Kumbuka mpira ni mchezo wa makosa. Unaweza kuwa bora na ukafungwa. Ukifanya makosa mwenzako akayatumia umeumia.

Haya ni mambo ya kawaida sikupaswa kuyasema, ila inabidi nikukumbushe!
 
Huo mwaka 1978 ndio kwanza ulikua kwenye zipu ya baba yako, ana kufunga na kukufungua.

1998 mimi naanza kushabikia soccer, wewe unakunya mavi kwa mafungu tu, unakunya hapa unainuka unakunya pale unainuka.
Mkuu huo ndo ukweli kama utaki basi
 
Huyu ole yupo kwenye learning curve msimu wa ngapi sasa maana ameshakuwa KOCHA kina lampard na arterta bado hawajastaafu!....na aliishusha drj Cardiff miaka km 7 iliyopita......bado tu yupo kwenye learning curve?
Kwa nature ya majeruhi ya VVD ni msimu mzima, hata ikitokea akawa amepona around March au April, sidhani kama kocha ata risk kumchezesha msimu huu.

Lampard na Ole wako kwenye learning curve, huwezi jua wata peak muda gani, though naona kama Ole graph yake haieleweki, Lampard naweza mpa benefit of doubt kwamba atakuja kuwa vizuri.
 
Kivipi? Athletico ni timu ya mpira wa miguu ambao matokeo yake huamuliwa dk 90. So tunasubiri game. Kumbuka mpira ni mchezo wa makosa. Unaweza kuwa bora na ukafungwa. Ukifanya makosa mwenzako akayatumia umeumia.

Haya ni mambo ya kawaida sikupaswa kuyasema, ila inabidi nikukumbushe!
Atletico hawahawa waliompiga liva nje ndani ndo chelsea muitoe????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom