Mkuu kama sasa hivi hafungwi atafungwa lini ?maana sasa Hivi wana injury Za hatari lakini bado wanaongoza ligi.
Kama unafatilia vizuri ligi sio ngumu kwa liverpool,kilichotokea liverpool kikosi chao asilimia kubwa wachezaji wao wanaumia na wengine wameumia beki ya kati yote ya Liverpool ina injury safu inaongozwa na Fabinho ambae yeye namba yake ni kiungo wa kati. Na jana kuna dogo William kacheza beki ya kati kutoka timu ya watoto amecheza ndio mechi yake ya kwanza kwenye Epl lakini bado tumepata matokeo
Sasa wakirudi wote tuliowazoe wakina Thiago,vvd,Jota,Gomez, na wengine Fabinho akisogea mbele pale sijaona timu ya kumfunga liverpool pale anfield.