Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu kama sasa hivi hafungwi atafungwa lini ?maana sasa Hivi wana injury Za hatari lakini bado wanaongoza ligi.

Kama unafatilia vizuri ligi sio ngumu kwa liverpool,kilichotokea liverpool kikosi chao asilimia kubwa wachezaji wao wanaumia na wengine wameumia beki ya kati yote ya Liverpool ina injury safu inaongozwa na Fabinho ambae yeye namba yake ni kiungo wa kati. Na jana kuna dogo William kacheza beki ya kati kutoka timu ya watoto amecheza ndio mechi yake ya kwanza kwenye Epl lakini bado tumepata matokeo

Sasa wakirudi wote tuliowazoe wakina Thiago,vvd,Jota,Gomez, na wengine Fabinho akisogea mbele pale sijaona timu ya kumfunga liverpool pale anfield.
Na ww usijisifie saana, hakuna timu isiofungika bana we. Livakuku si timu ya kutisha hiivyo kama unavyojisifia,ni upepo tu wa kushinda upo upande wenu, so usijae upepo ukajisifia saaana.
 
Liverpool mnatembelea nyota ya uwezo wa kocha. Kocha wenu ni architecture wa mpira. Hata apange madogo na kubadilisha position za wachezaji still mfumo na mbinu zake zinaleta matokeo.
Klopp uwezo wake wa kawaida, na ushahidi ni hiyo miaka minne aliyokaa na timu, kwa kuwa wachezaji wa hovyo na matokeo ya hovyo. Aliusota na Dotmund bila kombe kwa sababu ya wachezaji wenye uwezo mdogo. Leo hii kapata wachezaji wazuri mnasema Klopp ni architecture tangu lini?. Leo hii Klopp angekuwa na timu kama Spurs angekuwa midtable huko
 
Klopp uwezo wake wa kawaida, na ushahidi ni hiyo miaka minne aliyokaa na timu, kwa kuwa wachezaji wa hovyo na matokeo ya hovyo. Aliusota na Dotmund bila kombe kwa sababu ya wachezaji wenye uwezo mdogo. Leo hii kapata wachezaji wazuri mnasema Klopp ni architecture tangu lini?. Leo hii Klopp angekuwa na timu kama Spurs angekuwa midtable huko
Emb katafute timu aliyopewa klopp wakat anaingia liverpool......ukiambiwa Architecture ujue kiwa ameweza kutengeneza mfumo mzur wa team hata alivyokuwepo dortmund alinyanyua vikombe vya lig viwil na kufika fainal uefa kutokana na mfumo wake sasa ww sijui unaongea utopolo gan hapa
 
1. West Ham Lampard anakalia chuma cha moto
2. Arsenal sare
3. Villa Lampard anakalia chuma cha moto
4. Man city Lampard anakalia chuma cha moto

LAMPARD OUT MTFK
 
maombi yenu eti man u afe yameshindwa sasa kinacho watokea ni nyani aoni kunduleee
 
Emb katafute timu aliyopewa klopp wakat anaingia liverpool......ukiambiwa Architecture ujue kiwa ameweza kutengeneza mfumo mzur wa team hata alivyokuwepo dortmund alinyanyua vikombe vya lig viwil na kufika fainal uefa kutokana na mfumo wake sasa ww sijui unaongea utopolo gan hapa

Tatizo kubwa ni hilo neno la Architecture, naamini ulimaanisha ni mtu anayejua kujenga timu na ikasimama.

Sina uhakika kama lembu kaielewa kama hivyo.
 
Jamani kikosi cha mwaka kimetoka.

2642403_Adjustments.jpg


Kwa kuangalia current form ya wachezaji wa Chelsea, mnadhani nani anaweza kuingia mwaka kesho?
 
Mwaka jana Liver mechi 38 kapoteza pts 15 tu
Mwaka huu mechi 13 kashapoteza pts 11, Ligi mwaka huu ubingwa ngoma nje nje
2-0 loss vs. Liverpool
3-3 draw vs. Southampton
0-0 draw vs. Man United
0-0 draw vs. Tottenham
1-0 loss vs. Everton
2-1 loss vs. Wolves

Chelsea have failed to beat every team they've faced this season who sit above 12th in the Premier League table.



Title contenders or pretenders?
 
Hii timu league ikiwa inaanza unaweza kufikili wapo serious
2-0 loss vs. Liverpool
3-3 draw vs. Southampton
0-0 draw vs. Man United
0-0 draw vs. Tottenham
1-0 loss vs. Everton
2-1 loss vs. Wolves

Chelsea have failed to beat every team they've faced this season who sit above 12th in the Premier League table.

Time to differentiate Contenders from pretenders
 
Nyie jamaaa soon mtajikuta nafasi ya 8 huko,

Kutoka nafasi ya 3 ya uhakika,

Table epl inabadilika Kama kimbunga, ukipoteza match 3consecutively utajikuta upo na Arsenal huko unashuka daraja
 
Usajili wote wa bei ghali tumepigwa.

Kepa na Kai

Yan ht Kepa akikaa benchi bado roho yangu haina amani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom