Sisi kazi yetu ya weekend imeisha, tunaangalia mnaoitwa au kujiita wapinzani weekend hii.
Dirisha la usajili January likifunguliwa tusajili Winga 2 ya kushoto na kulia kusaidiana na Pulisic na Ziyech.
Pulisic, Ziyech, Odoi wamekuwa wahanga wa majeruhi. Bila kusajili hizi nafasi tutateseka sana.
Kumchezesha WERNER kushoto sio suluhisho, anakuwa butu hafungi arudi nafasi yake ya mshambuaji wa kati.
Vilevile kuwachezesha wachezaji wrong position tunakosa kilicho bora.
Kwa upande wa kocha ifike mahali awe na kikosi kinachofahamika 1st eleven. Kwa mfano kwa sasa inafahamika tuna injuries kule mbele, sasa kocha huku katikati anafanya rotation ya nini? Kai wa nini sasa?
Aache wachezaji ambao wameshabuild connection panga pangua labda patokee injury.
Mount - Kante - Kovacic
Chilwell - Thiago- Zouma- James
Kwa kweli mmeitendea vema weekend ya leo. Hongereni sana kwa ushindi mkubwa mliopata.
Mabeki wana pass nyingi kuliko viungo, halafu pia Zouma ni bonge la uchochoro. Staili yake ya kumsindikiza mchezaji mpk kwnye box ndio afanye maamuzi ndio huwa simuelewagi.Kinachowapa advantage Liverpool ni huo uwezo wa kucheza counter attack hata kam a wanamiliki mpira 66% tofauti na Man City na Chelsea yetu wanaotaka kufunga goli kwa pasi hadi kwa kipa. Mimi binafsi naipenda sana counter kwa sababu inakausha upinzani. Lampard ajifunze kupata magoli kupitia counter pia badala ya pasi za kuremba remba tu.
Liverpool wamelipa bila huruma magoli 7 ya Aston Villa na sasa title contenders wanaanza kujitenga na walalahoi, makabwela
Sometime hata sio kuchezeshwa wrong position inategemea na mchezaji wenyewe. Kama Havertz juzi kachezeshwa no.8 lakini hamna kitu alichokifanya. Au huyo Wanner japo anatokea pembeni anabaki na goli anakosa au anaokoa kbs goli. kwa hiyo akicheza CF ndio atafunga? hata akicheza CF mambo bado yatakua yale yale tu. Kwanza kuchezeshwa striker pale chelsea kwa sasa ni lawama tu mana hakuna creativity. Mpira muda wote upo kwa mabeki wanatengeneza ball possesion.Dirisha la usajili January likifunguliwa tusajili Winga 2 ya kushoto na kulia kusaidiana na Pulisic na Ziyech.
Pulisic, Ziyech, Odoi wamekuwa wahanga wa majeruhi. Bila kusajili hizi nafasi tutateseka sana.
Kumchezesha WERNER kushoto sio suluhisho, anakuwa butu hafungi arudi nafasi yake ya mshambuaji wa kati.
Vilevile kuwachezesha wachezaji wrong position tunakosa kilicho bora.
Kwa upande wa kocha ifike mahali awe na kikosi kinachofahamika 1st eleven. Kwa mfano kwa sasa inafahamika tuna injuries kule mbele, sasa kocha huku katikati anafanya rotation ya nini? Kai wa nini sasa?
Aache wachezaji ambao wameshabuild connection panga pangua labda patokee injury.
Mount - Kante - Kovacic
Chilwell - Thiago- Zouma- James



mumeingia cha kike 

Mimi nimezaliwa mwaka 1978 na Chelsea naijua tangu mwaka 1980. Fulu stop!Mkuu, uhalisia uko hivi.
Chelsea imeanza kuvuna mashabiki (kwa hapa Tanzania) mwaka 2005.
Wengi wa mashabiki ni masalia wa Liverpool walio kata tamaa na timu yao.
Kuanzia msimu wa 2005 watoto wadogo (wajomba zetu) wengi walianza kuishabikia Chelsea, wengi wao ni waliozaliwa 1993+ .
Kwahiyo usitegemee ushabiki wa heshima kutoka kwa watoto wa lika hilo.
Mimi nimezaliwa mwaka 1978 na Chelsea naijua tangu mwaka 1980. Fulu stop!
Kipindi kile kulikua na kina Hazard, Kante na ndicho kipindi Klopp alikua anaanza hakukua na wachezaji wa Liverpool.Jamani kikosi cha mwaka kimetoka.
View attachment 1653252
Kwa kuangalia current form ya wachezaji wa Chelsea, mnadhani nani anaweza kuingia mwaka kesho?
Sawa mtabiri TambitambiLampard asipoondoka mkubali kutembezewa mpini kila mechi.
Hajui mpira huyo mtoto mdgo hyomendy auzwe tena??
huwezi kua serious hata kidogo makosa ya mabeki lawama abebeshwe kipa?
Kipindi kile kulikua na kina Hazard, Kante na ndicho kipindi Klopp alikua anaanza hakukua na wachezaji wa Liverpool.
Naomba tupe muda tutaanza kumuona Pulisic, James, Hakim, Kai n.k