Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tatizo la hizi forum za kidijitali hatuonani kwa sura, tunabishana tuuu! Saa nyingine inaweza kuwa lizee la miaka 50 anabishana na kitoto cha miaka 13
 
Makocha wenye uwezo wa kuchukua makombe wanajulikana

Hesabu hazidanganyi

Klop

Jose morhino

Pep guardiola

Hao ndio wananyota na vikombe


Hao wengine sijui

Lampard

Ole

Arteta

Hao ni wasindikizaji tu ,hawana pumzi kabisa

Siku mtakapolijua hili ndio mtakapo jua kuwa hamjui, na mnapoteza muda
Carlo Anceloti
 
Humu ndani kuna ushabiki mandaazi sana

Hivi watu hamumjui Carlo Anceloti?
Hamuijui CV yake?

Yaani mtu unategemea Lampard amshinde anceloti kirahisi?

Seriously??

Hii Chelsea angepewa Anceloti angetwaa ubingwa mapema sana..

Akipewa Man u ya sasa ubingwa mapema

Akipewa arsenal anatwaa Uefa na top four uhakika...


Anceloti sio kocha wa level za Everton

Ni top level...na jana alikuwa anawakosa key players kama James Rodriguez..

Tuachane kuongea kishabiki..
Kocha wa Everton ni level ingine
 
Nahisi baada ya Mwezi huu au precisely baada ya January, Title contenders watajulikana na bila kubaatisha watakuwa ni Liverpool na Spurs ndio pekee wako serious. Sisi Chelsea ilikuwa tu ni kushowcase vitu tulivyonunua kwa bei ghali. Najua wataendelea kucheza vizuri ila sio kwa kuchukua ubingwa tusijidanganye mchana kweupe. Tunaweza kufight tukabaki top 4 dhidi ya akina manue, city, Lcity, Southamptom na Astonvilla lakini ubingwa tusahau tusije pata unwanted strokes, diabetes, HT nk
 
Ndg makocha wote wako hivyo. Ni MOU tu anajul kwa kutweak wachezaji ili apate matokeo pamoaj na kwamba naye MOU ana wachezaji wake wanaojua counter attack kama akina Son na Kane. PEP anategemea soko, Klopp kaingia sokoni vizuri kabla ya hapo mnamjua alikuwaje hata kule Dotmond. Tumpe tu fursa aendelee kuijenga timu angalau kwa mwaka huu. Mwaka kesho akiendelea kuwa na mixed results kama hizi surely atatimuliwa
Mara pap man city na bayan
 
Inaweza kuwa jana formation ni ile ile ya 433 lakini Kai kucheza winga hawezi bora angemuweka Mount kule anamudu nafasi nyingi Au angemuweka Timo kulia na yule dogo Faustino Anjorin winga wa kushoto
Hapo ndio naonaga kama lampard sio kocha, mshabiki unaona lakini yeye yupo pale pale uwanzani na hata haoni. Havertz hakutakia hata kumaliza half time.

tym wil tell, Havertz tumepigwa.
 
Nahisi baada ya Mwezi huu au precisely baada ya January, Title contenders watajulikana na bila kubaatisha watakuwa ni Liverpool na Spurs ndio pekee wako serious. Sisi Chelsea ilikuwa tu ni kushowcase vitu tulivyonunua kwa bei ghali. Najua wataendelea kucheza vizuri ila sio kwa kuchukua ubingwa tusijidanganye mchana kweupe. Tunaweza kufight tukabaki top 4 dhidi ya akina manue, city, Lcity, Southamptom na Astonvilla lakini ubingwa tusahau tusije pata unwanted strokes, diabetes, HT nk
Kwa hiyo City sio tittle contender
 
Uefa draw
Screenshot_20201214-142323.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom