Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Man city mtajuta kwanini mlisonga mbele kwenye ucl maana huko mkitolewa ni kuja kupambania Carabao.
Sisi msimu huu target ni uefa


Tumeongoza group kwa Point nying sana


Sasa atakayekuja mbele yetu, tunamnyoosha .

Chelsea ukiwaangalia unaweza fikili wapo serious, kumbe hawajui wanataka nini msimu huu


UEFA hawawezi

Epl inawatoa jasho

Carabao hoi

Fa hawawezi
 
Makocha wenye uwezo wa kuchukua makombe wanajulikana

Hesabu hazidanganyi

Klop

Jose morhino

Pep guardiola

Hao ndio wananyota na vikombe


Hao wengine sijui

Lampard

Ole

Arteta

Hao ni wasindikizaji tu ,hawana pumzi kabisa

Siku mtakapolijua hili ndio mtakapo jua kuwa hamjui, na mnapoteza muda
 
^
giphy.gif
 
Liverpool wakati anafungwa na Watford 3 - 0 msimu ulioisha alikuwa amecheza game 43 bila kupoteza.
Ilikua wachukua misimu mingapi kuwa na kikosi kilichochukua UEFA na EPL?

Najua mnataka kutupa pressure na mnajitoa ufahamu kuwa hamuelewi kwamba tupo kwenye process ila mi maneno yenu hayanipi hofu tupo kwa progress ni lazima tupitie haya.
 
Sisi msimu huu target ni uefa


Tumeongoza group kwa Point nying sana


Sasa atakayekuja mbele yetu, tunamnyoosha .

Chelsea ukiwaangalia unaweza fikili wapo serious, kumbe hawajui wanataka nini msimu huu


UEFA hawawezi

Epl inawatoa jasho

Carabao hoi

Fa hawawezi
Mmefika nusu mara mbili na mara nyingine zote mnatolewa kwenye mtoano.

Na hiyo ndiyo ile miaka mnawanyeshea watu mvua ya magoli. Msimu huu ushindi wenu ni moja bila, mbili bila ndiyo mchukue uefa?
 
Sisi msimu huu target ni uefa


Tumeongoza group kwa Point nying sana


Sasa atakayekuja mbele yetu, tunamnyoosha .

Chelsea ukiwaangalia unaweza fikili wapo serious, kumbe hawajui wanataka nini msimu huu


UEFA hawawezi

Epl inawatoa jasho

Carabao hoi

Fa hawawezi
Huyu nayesema haya ni shabiki wa Man City anasahau walipokua bora walishindwa kuchukua UEFA sasa hivi wapo eti wanawaza UEFA

HAKI VITUKO HAVIISHI
 
Ilikua wachukua misimu mingapi kuwa na kikosi kilichochukua UEFA na EPL?

Najua mnataka kutupa pressure na mnajitoa ufahamu kuwa hamuelewi kwamba tupo kwenye process ila mi maneno yenu hayanipi hofu tupo kwa progress ni lazima tupitie haya.

No, nilikuwa namjibu jamaa aliyesema hakuna timu kwa sasa inayoweza kwenda 38 games kwenye ligi bila kupoteza.

IMO, Chelsea ni timu yenye kikosi bora kabisa msimu huu, issue ya matokeo ni nyingine.

Kuchukua ubingwa ni zaidi ya kuwa na kikosi bora, mpaka sasa hakuna picha kamili ya nani atakuwa bingwa msimu huu, kila mmoja atataja timu yake.
 
Shabiki wa Man City washaanza kuwa kama Arsenal fans. Yan katika ubora wao hawakuchukua makombe ya heshima sasa ivi wakiwa unga unga eti wanajinadi na wao ni contender wa UEFA!! Huyo mtu nae anaiponda Chelsea
 
Shabiki wa Man City washaanza kuwa kama Arsenal fans. Yan katika ubora wao hawakuchukua makombe ya heshima sasa ivi wakiwa unga unga eti wanajinadi na wao ni contender wa UEFA!! Huyo mtu nae anaiponda Chelsea
Chelsea

Liverpool


Man city

Hapo mwenye uwezo wa kufika hata nusu fainal nan


Hesabu hazidanganyi, Man city ina nafasi kubwa sana ya kuchukua uefa mwaka huu kila mtu anajua

Subili draw itoke kesho
 
Kutengeneza huo mfumo ni mpaka iwe unaujua na Lampard haonekani kufahamu mengi katika mikakati ya ushindi. Yeye anataka kuendelea kasajili wachezaji wakubwa mpaka siku wachezaji wenyewe watengeze combination.
Ndg makocha wote wako hivyo. Ni MOU tu anajul kwa kutweak wachezaji ili apate matokeo pamoaj na kwamba naye MOU ana wachezaji wake wanaojua counter attack kama akina Son na Kane. PEP anategemea soko, Klopp kaingia sokoni vizuri kabla ya hapo mnamjua alikuwaje hata kule Dotmond. Tumpe tu fursa aendelee kuijenga timu angalau kwa mwaka huu. Mwaka kesho akiendelea kuwa na mixed results kama hizi surely atatimuliwa
 
Makocha wenye uwezo wa kuchukua makombe wanajulikana

Hesabu hazidanganyi

Klop

Jose morhino

Pep guardiola

Hao ndio wananyota na vikombe


Hao wengine sijui

Lampard

Ole

Arteta

Hao ni wasindikizaji tu ,hawana pumzi kabisa

Siku mtakapolijua hili ndio mtakapo jua kuwa hamjui, na mnapoteza muda
Lampard ni mwaka wake wa pili kwenye ukocha ligi kubwa hizo data umezipata wapi?
Arteta kwa mwaka wake wa Kwanza kachukua makombe mawili au unazungumzia makombe gani hasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom