Wakipigwa itapendeza sana.Bora wewe unawaombea Liver, Mimi hakuna watu natamani match ya leo kama 'Senali' ili tu niwatanie maana wana kidomo domo sana wale wana..!
Mdogo mdogo mnaanza kuelewaAisee nyinyi wadau mpo on fire
Naona Zouma amen'gaa kwenye hizo stats
Nyie tumewazoe nyinyi si mlisema Werner tumepigwa au mshaanza kujitoa ufahamu naona umeamua kwa Kai tena
Timo naye aonyeshe userious kwenye kufunga sio kuwasaidia wapinzani kuokoa magoliKwa userious walionao Liverpool na Tote kwenye kusaka taji la EPL, Kovacic na Giroud wasikosekane kwenye 1st eleven yetu. Tuonyeshe userious zaidi yao kwenye kupata matokeo chanya kila mechi.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Malang Sarri anarudi lini Chelsea ili aje acheze nafasi ya Zouma?
Maisha yanaenda kasi sana Arsenal eti kwasasa wanapigania wasishuke dalaja.amkeni jamani,wamepigwa tena uko
walishinda vimechi viwili vya mwanzo wakajiita mabingwa,msimu huu wanashuka daraja asenoMaisha yanaenda kasi sana Arsenal eti kwasasa wanapigania wasishuke dalaja.
Ndio maana wahenga walisema usimtukane mamba kabla hujavuka mtowalishinda vimechi viwili vya mwanzo wakajiita mabingwa,msimu huu wanashuka daraja aseno
Kwa timu kubwa kama Porto kuwa regular starter sio mchezo lazima atakuwa asset kule. Huyo atakuja kuchukua namba ya akina Tomori na Christensen wasipoangaliaInasemekana atacheza Porto kwa msimu mmoja kisha atajiunga na Chelsea.
Vp unamfuatilia huko aliko? Tupe maendeleo yake tafadhali.
Kwani huyo beki ana ukali gani?Kwa timu kubwa kama Porto kuwa regular starter sio mchezo lazima atakuwa asset kule. Huyo atakuja kuchukua namba ya akina Tomori na Christensen wasipoangalia
Hiyo mechi haina umuhimu kwetu lazima outcast wote wapewe nafasi



Kwa userious walionao Liverpool na Tote kwenye kusaka taji la EPL, Kovacic na Giroud wasikosekane kwenye 1st eleven yetu. Tuonyeshe userious zaidi yao kwenye kupata matokeo chanya kila mechi.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app


