Ni hatari na nusu mkuu ..angalia vipigo tunavyotoaUkiwa na kikosi kukubwa chenye wachezaji wote wazuri raha sana...unajipangia tu
Kai naona kachukua namba ya kovacic
Naona umeamua kukili bila kulazimishwa huo ndio uungwanaAisee nyinyi wadau mpo on fire
Kwa hii mikiki mikiki tunayotoa wananzengo washaanza kuelewaKuanzia leo rasmi Chelsea naitangaza inaenda kuchukua ubingwa.
Dah ila itakuwa siyo siriyaz injariZiyech kaumia kaingia pulisic
Nilishawahi kusema kabla leo nimerudia tu. On fire halafu kikosi kinene.Naona umeamua kukili bila kulazimishwa huo ndio uungwana
🙁😉Kwa hii mikiki mikiki tunayotoa wananzengo washaanza kuelewa
Game ya leo tungetulia tulikuwa tunashinda zaid ya hizi goal 3Kai Havertz leo kacheza vizuri na naona form yake ikirudi
Hongereni The Blue, angalau tuongoze ligi kwa muda ili kuwapa vijana morale
Mendy Zouma na Silva ni wa Muhimu sana pale nyuma
Pamoja na Werner kuokoa goli lakini anahitajika kule mbele sana, haya makosa makosa ya werner yakiisha tutakuwa na mvua ya magoli sana
Giroud kajihakikishia namba dhidi ya Tammy
Tumewafunga ila chenga wametula, touches nyingi kwenye eneo letu la penalti
Team kubwa zilivyopoteza kule mwanzoni..huu moto tungenaza nao gap lingekua point 12 na zaidi hukooKwa hii mikiki mikiki tunayotoa wananzengo washaanza kuelewa
Leeds ni stail yao hio ya uchezaji wao huwa hawakai nyuma wancheza kwakoKai Havertz leo kacheza vizuri na naona form yake ikirudi
Hongereni The Blue, angalau tuongoze ligi kwa muda ili kuwapa vijana morale
Mendy Zouma na Silva ni wa Muhimu sana pale nyuma
Pamoja na Werner kuokoa goli lakini anahitajika kule mbele sana, haya makosa makosa ya werner yakiisha tutakuwa na mvua ya magoli sana
Giroud kajihakikishia namba dhidi ya Tammy
Tumewafunga ila chenga wametula, touches nyingi kwenye eneo letu la penalti
Ontarget zilikuwa 10, total shots 23, Kocha inabidi alifanyie kazi hilo, hizo ni shots nyingi sana mabao yalitakiwa sio chini ya 6 au 7Game ya leo tungetulia tulikuwa tunashinda zaid ya hizi goal 3
Natumai injury ya ziyech haitokuwa kubwa sana
Wanasubr tufungweWale watukanaji wako wapi jamani
Watasubir Sana kituo kinachofuata Ni goodson park.....Wanasubr tufungwe