Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mendy kuwepo golini tunaombea kushinda kwa clean shit, ila kuna mvuta bang flan hv alivokuwa golini tulikuwa tunaombea tusifungwe magoli mengi
 
Nyie tumewazoe nyinyi si mlisema Werner tumepigwa au mshaanza kujitoa ufahamu naona umeamua kwa Kai tena
Kwani jojino ilikuwaje? Si mlimsifia kuwa pass master lakini mwisho wa siku mlimkataa.
 
This season hajabadili kikosi sana pia match ambazo kovacic hakucheza kulikiwa na sababu , Kama match na Leeds koch alitoa sabb y kutomuanzisha
Alisema anampumzisha kwa sababu kacheza katikati ya wiki. Najua kuna wengine hata wacheze katikati ya wiki wana pumzi ya kutosha
 
Kwani jojino ilikuwaje? Si mlimsifia kuwa pass master lakini mwisho wa siku mlimkataa.
Jorginho mpaka sasa ni pass master mzuri kuliko Kante, tofauti yake tu hajui kukaba kumzidi Kante na pia ana HT Sydrome, kocha akiwahi kumpumzisha atatufaa kwenye baadhi ya mechi laini. Ila huyo akija Arsenal ni hot cake
 
Jorginho mpaka sasa ni pass master mzuri kuliko Kante, tofauti yake tu hajui kukaba kumzidi Kante na pia ana HT Sydrome, kocha akiwahi kumpumzisha atatufaa kwenye baadhi ya mechi laini. Ila huyo akija Arsenal ni hot cake
Pass master halafu hana assist ya goal hata moja hiyo mipasi anaipiga ya nini sasa?
 

Chelsea ready to listen to offers for Rudiger & Tomori​

 
Chelsea made a summer approach for Udinese goalkeeper Juan Musso
 
Chelsea wanajiandaa kukataa ofa ya Bayern Munich ya kumchukua Odoi dirihsa dogo la Januari
 
Navoona sidhani kama Chelsea January watasajili Tena io itkua adi msimu uishe
 
Sio CB wa kumsaidia Thiago?

Christensen maboko
Rudger anaondoka
Tomori naye ataenda Newcastle mkopo. Thiago silva bado yupo na kuna uwezekano wa kuongeza mkataba wa mwaka zaidi na bado atakuwa form kwa miaka miwili zaidi. Mada ilikuwa dirisha dogo la januari, kwa dirisha kubwa kuna uwezekano Sarr akarudi darajani, na tayari tuna Christensen na Rudiger sidhani kama wataondoka
 
Ivi ili tatizo la misuli Linashida gani wachezaji wengi linawapata
Ziyech na odoi kesho hawatacheza wote ni majeruh
 
Kikosi Cha kesho navohici
Kepa
Rudiger
Christensen
Azpi
Emerson

Then girmour mount Kai
Mbele pulisc, Tammy, Werner
 
Kule Twitter wanamuita "Beast!"
1607355288118.png
 
Kati ya werner au mount, mmoja lazima apumzike,wamecheza mechi nying sana.. Havertez kqa vyovyote lazima aanze
Kikosi Cha kesho navohici
Kepa
Rudiger
Christensen
Azpi
Emerson

Then girmour mount Kai
Mbele pulisc, Tammy, Werner
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom