Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Record zinavunjwa tu anytime usijipe imani ....hata arsenal walikuwa hawajawahi kuwafunga nyumbu OT KWA miaka km 14 lkn the rest is history
Huku ni mbali sana.


Tottenham alikuwa hajawahi kumfunga chelsea Darajani tangu 1992. Amekuja kuvunja hiyo rekodi mwaka 2018.

Yaani ndani ya miaka 26 ilikuwa kila totte akija Darajani lazima aache point au akipona sare.
 
Bora ungesema hata spurs kuliko Hawa wawili tunajua ubingwa wao ni kuingia Top four
Second season syndrome

Liva hachukui ubingwa msimu huu save hii comments

Ubingwa Ni kwa Chelsea au man u
 
Bora ungesema hata spurs kuliko Hawa wawili tunajua ubingwa wao ni kuingia Top four
Spurs hawajawahi kuwa serious na ubingwa

Usidangwe na ngendembwe za mou

Ameishia kimbinu yule

Ubingwa Ni kwa Chelsea na Man U

Mwisho msimu nitawakumbusha hii comment
 
Utakuwaje bingwa wakati gemu za big six hamjashinda hata moja so far
Spurs hawajawahi kuwa serious na ubingwa

Usidangwe na ngendembwe za mou

Ameishia kimbinu yule

Ubingwa Ni kwa Chelsea na Man U

Mwisho msimu nitawakumbusha hii comment
 
Timu itakayomalizana na Kransnodar hii hapa

Chelsea Team B copy.jpg
 
Chelsea top scorer mechi zote msimu huu wa 2020/21
1607269573715.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom