21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,299
- 2,843
Silva nae vip inaonekana aliumia pia
Nimecheka kwa sauti sana kama vile niko paradiso kwa hili jibu...haha...hahaaaa....!Nchimbi yupo Yanga lakini Lacazigo yupo Arsenyeto kweli uchawi upo
Kai Havertz kacheza vizuri sana mechi ya leo dhidi ya Leeds, tuzidi kumpatia muda atakuja kuwa CAM mzuri kuliko watu wanavyodhani, lakini tkubali Leeds wako vizuri sana kiukweli.Kai Havertz leo kacheza vizuri na naona form yake ikirudi
Hongereni The Blue, angalau tuongoze ligi kwa muda ili kuwapa vijana morale
Mendy Zouma na Silva ni wa Muhimu sana pale nyuma
Pamoja na Werner kuokoa goli lakini anahitajika kule mbele sana, haya makosa makosa ya werner yakiisha tutakuwa na mvua ya magoli sana
Giroud kajihakikishia namba dhidi ya Tammy
Tumewafunga ila chenga wametula, touches nyingi kwenye eneo letu la penalti
Bila shaka naamini itakuwa ni misuli ya kwenye mapaja ambapo itamchukua muda mfupi kurejea tena mchezoni.Dah ila itakuwa siyo siriyaz injari
Pale mbele bado Chelsea kuna makosa madogo madogo mengi sana tunayafanya na wakati mwingine ni uchoyo wa wachezaji wenyewe huigharimu timu kukosa magoli ya wazi kabisa.Ontarget zilikuwa 10, total shots 23, Kocha inabidi alifanyie kazi hilo, hizo ni shots nyingi sana mabao yalitakiwa sio chini ya 6 au 7
Werner ni mtu na nusu, ana makosa ya kukosaga magoli lkn husahihisha kwa kutoa pasi magoli kwa wengine kama ilivyokuwa mechi dhidi ya Shelfied United kwa kumpatia T. Abraham kwa counter attack.Werner pamoja na uzembe lakin anamchango mkubw hope he won't be affected physiologically for missing goals
Japo watu hawamzungumzii ila mount huyu dogo anapiga mwingi sana
Hata sijui kama aliumia sirias maana alirudi kuendelea na mchezo, ngoja tusubiri updated news toka kwa Kocha LampardSilva nae vip inaonekana aliumia pia
Kalegea kama mlenda sijui anafanya mazoezi gani au anaashida gani yule
Aisee nyinyi wadau mpo on fire
Kai yuko vzr weakness yake ni yuko physical weak so apo ni training tu inahitajika.Yaani huyu dogo namuona kama Abraham wa pili, dogo kalegea ata mlenda afadhali.
Acha masikhara? Hii ni kweli?Auba ana magoli 2
Zouma ana magoli 4
Haha haha sure zuma ana 4goalsAcha masikhara? Hii ni kweli?
Nilikua nazingua.Haha haha sure zuma ana 4goals
Thou am Chelsea fan i feel sorry for auba
Kwa hizi shots on target ilitakiwa tuwe na goal si chini ya 6. Bado umakini zaidi unatakiwa.