Hahahaha ........Lampard sometime naonaga kama huwa anabet.Unaweza kushangaa Leo Lampard akampanga jorginho
Hahahaha ........Lampard sometime naonaga kama huwa anabet.Unaweza kushangaa Leo Lampard akampanga jorginho
Sio kweli, Kai anacherza CAM lakini pia anacheza forward karibu zote hata striker alishawahi kucheza japo nafasi yake anayoimudu ni CAM, Leo Lampard kamuweka badala ya Mount na Mount badala ya KovaKovacic na Kai wanacheza nafasi mbili tofauti
Ukiwa na kikosi kukubwa chenye wachezaji wote wazuri raha sana...unajipangia tu
Leo Kai anaanza Kova benchiKwa hyo leo kai hafai kweli mwili wa nyama moyo wa plastic yule dgo kwangu mie ni mchezaji mzuri sana
Kwnaza age yake bdo ni ndgo sana so atakomaaa tu na ata wafanya wote wamgeukie dgo ni Talented sana yule
Leta data wacha porojo60% za Losses amechangia Lampard.
Game ya leo inamuhitaji kova than Kai kutokana na aina ya uchezaji wa Leeds ila happy kwa Giroud kanifurahisha.Leo Kai anaanza Kova benchi
Hayakuhusu baki na Woolwich yakoHivi huyu akijitoa na wale wenye uwanja wakaubeba nyie mwabaki na Lampard tu
Kubali kataa huyu Havertz tumepigwa
Kalegea kama mlenda sijui anafanya mazoezi gani au anaashida gani yuleKubali kataa huyu Havertz tumepigwa