Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jamani nawatangazia kuna msiba kwa jirani, akina Dully hawawezi kusema kwa sababu ni wafiwa
Shime tuwahi mahema ni machache
 
kesho ndio tutajua mbivu na mbichi, nani amekodi uwanja na nani amekodi jina View attachment 1637204
Au siyo
_102733195_arsenal-celeb.jpg


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Waliojilinda ni hao waliopossses kwa 39% na kupiga shot on taregt 1 tu
Sisi tulicheza 61% na shot on target 3
Uwe objective basi unapotoa maoni yako mkuu

Labda unaweza sema nimeweka ushabiki, lakini binafsi nilitegemea game ambayo hata kama Tottenham atakaba, Chelsea awe na uwezo wa kutoboa hasa ukichukulia na form waliyonayo wachezaji wa mbele wa Chelsea kama Werner, Ziyech, of course Tammy.

Leo Ziyech sijaona akikunja zile signature crosses, Werner hajasumbua.

Kuhusu kupaki basi, Tottenham amepaki zaidi yenu, ila pia siyo habari Tottenham kupaki basi, inategemewa iwe hivyo.

Labda pia nashindwa kuwapa walinzi wa Tottenham sifa zao kwa kuwabana wafungaji wenu (ambapo kwa sasa nadhani Chelsea ni best team in terms of forwards kwa EPL).

Mara ya mwisho kuwa na 3 shorts on target ni lini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom