Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Msipomfunga Spurs (kitu ambacho kweli sikioni kikitokea), mjiandae na maumivu ya boxing day kutoka kwa wakubwa wa jiji la london wenye facilities zinazoeleweka sio mkodisho
 
Hii game inafaa Giroud aanze kabisa. Ofoi anaweza cheza sub ya Pulisic au Hakim
Akicheza Pulisic lazima Timo acheze no. 9
Tunategemea sub ya Pulisic kwa sababu ya fitness na Timo anayo contribution kubwa hawezi wekwa benchi na Giroud
Labda Odoi aanze na Pulisic aje sub angalau mechi moja au mbili ili apate fitness ya kutosha
 
Ward-Prowse ni kama David Bekham, mwakani tumvute darajani huyo
Southampton 2- 0 Manure (HT)
 
tukizifunga sis utaskia izo ni relegator ila zkiwafunga na kutoa nao draw sisi tunawaangalia2 watasemaje
 
Predicted line-up against Spurs
1606662315618.png
 
leo nitaangalia mechi yenu mkuu ili nimuone huyo Ziyech anayesifiwa pamoja na hiyo defence ya Zuma, then nitakuja na uchambuzi km kweli mmekodi uwanja au mmekodi jina na jezi
Stress zinakupeleka kubaya. Yan mechi ya leo ndio unataka umpime Ziyech umeanza kufatilia mpira lini ww?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom