Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 3,188
- 5,810
Kuendelea kumpa nafasi Abraham wakati Odoi, Olivier wanasugua benchi ni ujinga mkubwa mno. Hivi hilo takataka huwa anaangalia ata clip zake baada ya mchezo.!!! Nashangaa sana kila siku makosa ni yale yale, pumbavu limeregea sana yaani hawezi kukaa na mpira lazima apoteze.
