Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hongereni kwa kupata sare kwa Tottenham.

Naona Lampard kaja na mfumo wa kujilinda zaidi anapokutana na wakubwa.

Vs Man Utd 0 - 0, vs Tottenham 0 - 0. Safi sana.
 
Hongereni kwa kupata sare kwa Tottenham.

Naona Lampard kaja na mfumo wa kujilinda zaidi anapokutana na wakubwa.

Vs Man Utd 0 - 0, vs Tottenham 0 - 0. Safi sana.
Don Clericuzio Umeangalia mpira kweli? au umefuatilia kupitia livescore Chelsea ndio kadominate game possession ya 61 Mourinho alipaki kibasi hasa kipindi Cha pili chote.
 
Kama sio Abraham kuwa pale mbele tungefungwa. Abraham alikuwa anawafanya mabeki wa toten wasipande sana. Dogo anakipaji kikubwa sana leo haikuwa bahati yake kufunga. Giroud auzwe January ameingia sub hakuna alichokifanya.
 
Kama sio Abraham kuwa pale mbele tungefungwa. Abraham alikuwa anawafanya mabeki wa toten wasipande sana. Dogo anakipaji kikubwa sana leo haikuwa bahati yake kufunga. Giroud auzwe January ameingia sub hakuna alichokifanya.
Wewe Ni wakupuuzwa.
 
Don Clericuzio Umeangalia mpira kweli? au umefuatilia kupitia livescore Chelsea ndio kadominate game possession ya 61 Mourinho alipaki kibasi hasa kipindi Cha pili chote.

Kuna open chances zozote ambazo mmetengeneza?

Hamkuwa na mbinu zozote za kutafuta goli, mlikuwa mnahangaika na mpira tu hata 18 mmeingia mara chache sana.

Hakuna hata ile trial unayoweza kumlaumu striker, ukiacha moja ya Tammy.
 
"Sometimes I wonder does he watch clips of himself after the game."

- Jimmy Floyd Hasselbaink on #Chelsea forward Tammy Abraham

[via @footballdaily]
 
Kuna open chances zozote ambazo mmetengeneza?

Hamkuwa na mbinu zozote za kutafuta goli, mlikuwa mnahangaika na mpira tu hata 18 mmeingia mara chache sana.

Hakuna hata ile trial unayoweza kumlaumu striker, ukiacha moja ya Tammy.
We jamaa mpira unaujua. Kuna watu watakuja kumsifia Lampard hapa kuwa kacheza vizuri. Kumbe hamna kitu. Pasi zinapgwa na mabeki tu.

Kuna timu ukipaki basi utasakamwa mpk utaona chamoto, sio Lampard hajui mbinu zozote. mwenzio akipaki basi inamaana kashakubali kufungwa.
 
Kuna open chances zozote ambazo mmetengeneza?

Hamkuwa na mbinu zozote za kutafuta goli, mlikuwa mnahangaika na mpira tu hata 18 mmeingia mara chache sana.

Hakuna hata ile trial unayoweza kumlaumu striker, ukiacha moja ya Tammy.
Kwahiyo kutotengeneza nafasi nyingi ndio kubaki kibus?
 
Hongereni kwa kupata sare kwa Tottenham.

Naona Lampard kaja na mfumo wa kujilinda zaidi anapokutana na wakubwa.

Vs Man Utd 0 - 0, vs Tottenham 0 - 0. Safi sana.
Waliojilinda ni hao waliopossses kwa 39% na kupiga shot on taregt 1 tu
Sisi tulicheza 61% na shot on target 3
Uwe objective basi unapotoa maoni yako mkuu
 
Hata hajaumia, lampard sio kocha hili litakuja kijidhihirisha tu huko mbele.

Next game Leeds, kwa huu upuuzi wa Lampard tukipata hata droo najipiga ban.
Kama sio kocha ni nani basi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom