Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kitu huwa siwaelewi mafans wa chelsea ni kutokwa povu timu yenu ikikosolewa,sijui ndio Mentality ya timu ndogo, au wengi wenu ni watoto,au hamjui kuheshimu mawazo ya wengine, au labda hamjiamini
 
Manabii wanaendelea kutoa unabii wao. Safari hii sio kwa Liverpool wala Man city

Former Arsenal defender William Gallas has boldly claimed Tottenham or Chelsea will win the Premier League title over Liverpool and Manchester City this season.

1606595996145.png

Mimi namuunga mkono kwa sababu kama Brighton tuliwafunga 3 wao wameshindwa kuwafunga
 
Chelsea fc Halisi tunataka uwanja mpya. Tumechoka kuendelea kutumia uwanja kasha la kiberiti. Tote hawana mafanikio yoyote lakini wanalo bonge la uwanja. Katika timu zote za top 6 zina viwanja vikubwa sasa ukubwa wetu ni upi ndani ya top 6 kama tunashindwa kujenga uwanja mkubwa wa kisasa?
Kweli Ąiseeeeeeeeeehhhhhh
 
Mnatakiwa mjue sisi ni mashabiki wa chelsea na sio wa abramovic ko kakodi yeye sio sisi.sisi tunashabikia chelsea fc
Chelsea bila Abramovic ndugu yangu ni Coastal union iliyochangamka
 
Kitu huwa siwaelewi mafans wa chelsea ni kutokwa povu timu yenu ikikosolewa,sijui ndio Mentality ya timu ndogo, au wengi wenu ni watoto,au hamjui kuheshimu mawazo ya wengine, au labda hamjiamini
Tatizo kubwa mnashindwa kutofautisha kati ya idea na facts ,dully na kunggwaba wanataka kuhalalisha mambo madogo wasiyoyajua kuwa facts wakati ni weupe kwenye eneo hilo ,wakisema Chelsea atafugwa tutaheshimu idea yao sio kubwabwaja tu ,toka lini pharmacist akajua mergers ,share owning ,associate parties,corporate financing etc ,unapoongelea haya mambo in facts sio idea ,HATUPENDI UJINGA Ila utani wa football uendelee.
 
Kitu huwa siwaelewi mafans wa chelsea ni kutokwa povu timu yenu ikikosolewa,sijui ndio Mentality ya timu ndogo, au wengi wenu ni watoto,au hamjui kuheshimu mawazo ya wengine, au labda hamjiamini
Hawa watu wengi wao ni wale wasioweza kuvumilia changamoto, wapo kama vitindamimba. Ukiwachallenge kidogo tu wanalialia
 
Oya jamani tuwaache hayo matakataka tujadili game yetu ya Leo na Spurs pendekezeni line up ya Leo na mfumo mzuri against Tottenham
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom