Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ongeza na hizi basi ingawa ninazo nyingi tu posts kama hizi
View attachment 1636702

View attachment 1636703

View attachment 1636704

Dah! Hatari sana, Yani unaleta Posts zangu za kujifurahisha unazileta hapa kuonesha weakness kwangu?

Kwakifupi nimegraduate Bachelor degree mwaka 2009, hayo mengine ni mbwembwe za JF tu
Unajaribu kupumbaza wajinga siyo? Baada ya kuona unaumbuliwa ukaamua uje na mbinu ya kishamba? Hauwezi kabisa ku-neutralize ukweli ulioundika awali
 
Unajaribu kupumbaza wajinga siyo? Baada ya kuona unaumbuliwa ukaamua uje na mbinu ya kishamba? Hauwezi kabisa ku-neutralize ukweli ulioundika awali

Wewe Jamaa usiwe na Kichwa ngumu haya na hili pinga! Au nayo hii ni mbinu ya kufuta Post yangu ya Awali?

Kama hujui Mimi niliajiriwa mwaka 2010 Tabora.

Screenshot_20201128-142542.png


Screenshot_20201128-142558.png
 
Shefield United inayoshika mkia imefungwa jumla ya Goli 15, Liverfools mpaka sasa imeshafungwa goli 16, mpaka ligi iishe mtakuwa mmeloweshwa vya kutosha, Ubingwa safari hii msahau
THIS IS EPL

Natunza hii Post
 
Hello Ladies and Gentleman

SPECIAL INVITATION KWA MKODISHO FC

Familia ya Liverpool inawaalika katika Mtanange safi kabisa unaoendelea Muda huu.

ANGALIZO: Mambo yakiwa mazuri basi nitarudi hapa kwa kasi ya Ajabu, Lakini mambo yakiwa Mabaya basi leo hamutoniona tena hapa self Ban inanihusu.
 
Hello Ladies and Gentleman

SPECIAL INVITATION KWA MKODISHO FC

Familia ya Liverpool inawaalika katika Mtanange safi kabisa unaoendelea Muda huu.

ANGALIZO: Mambo yakiwa mazuri basi nitarudi hapa kwa kasi ya Ajabu, Lakini mambo yakiwa Mabaya basi leo hamutoniona tena hapa self Ban inanihusu.
Mshafeli ngoja kesho tuchukue nafasi yetu
 
Hiyo ID ya mtu anayesimamia duka unalouza ndo unaileta hapa kurinishia? Wewe fanya kazi ya kuuza panadol hapo

TMDA wanasimamia duka la Dawa? Oh my God 😅😅
Kumbe mweupe kiasi hicho! Hiyo ndiyo shida ya ujuaji mwingi.
Halafu ID yake namtunzia mimi sio? 😅😅
 
MKODISHO FC wameshajipatia Tamaa kuwa wanabeba Ubingwa msimu huu 😂😂😂
 
Jamaa una uwezo mdogo sana kichwani. Na sijui kama huwa unapitia tena ulichoandika kuona ujinga wako ulivyo mkubwa. Chelsea as a bland pamoja na pitch ni mali ya mashabiki. What's wrong club kubaki mikononi mwa mashabiki ili kuizuia isiporwe na mtu mmoja kwa mtakwa binafsi. Angalia Arsenal jinsi tajiri anavyowatesa mashabiki miaka 17 hamna hata cha kujitetea mpo mnapelekeshwa kama mbuzi tu. Na yule jamaa atawashusha daraja kabisa na hata akiamua kuibadilisha timu yenu jina anaweza kuiita hata washika manati lakini siyo Chelsea. Chelsea mashabiki ndiyo wenye maamuzi hayo
Tuwe natafuta kujua kwanza CV za hawa akina Dully, unaweza ukamkuta ni msela au teja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom