Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Aisifiaye mvua ujue imemnyea. Leo Villa anakingiwa kifua siyo relegator kwa sababu kawanyoosha watu midomo yao sasa wana heshima. Lakini haimuondoi yeye kuwa relegator kwa sababu ya trend alokua nayo msimu uliopita.
 
Aisifiaye mvua ujue imemnyea. Leo Villa anakingiwa kifua siyo relegator kwa sababu kawanyoosha watu midomo yao sasa wana heshima. Lakini haimuondoi yeye kuwa relegator kwa sababu ya trend alokua nayo msimu uliopita.
Unazungumziaje msimu uliopita badala ya msimu huu? Kwahiyo leeds wanacheza championship? ... Kwasasa Relegator s ni sheffield, burnley twende na uhalisia
 
Aisifiaye mvua ujue imemnyea. Leo Villa anakingiwa kifua siyo relegator kwa sababu kawanyoosha watu midomo yao sasa wana heshima. Lakini haimuondoi yeye kuwa relegator kwa sababu ya trend alokua nayo msimu uliopita.
Hapo chelsea kamzidi mech moja aston villa
Screenshot_20201113-153427_1.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20201113-153427_1.jpg
    Screenshot_20201113-153427_1.jpg
    8.8 KB · Views: 5
Aisifiaye mvua ujue imemnyea. Leo Villa anakingiwa kifua siyo relegator kwa sababu kawanyoosha watu midomo yao sasa wana heshima. Lakini haimuondoi yeye kuwa relegator kwa sababu ya trend alokua nayo msimu uliopita.
Relegator ni hao hapo had yatakapo tokea mabadiliko aston villa huwez kumuweka huko kwanza hata fom inambeba ktk kura za kushuka daraja anaweza kuwa sehem nzur zaidi ya hao hapo chini ina maana had chelsea anahusika kushuka daraja angalia mlivyokabana point tofaut ni jina chelsea yule aston villa unapata wap ujasiri wa kumuweka huko villa kwa fom ya sasa pia kwa kiwango cha sasa villa yupo vizur kishashinda mech kubwa mbili tena kwa uwiano mzur tu wa magoli na bado hawajayumba 7.....3 leicester city kachukua ubingwa akiwa katoka kwenye hali ya villa
Screenshot_20201113-153416_1.jpg
 
anachofanya Villa kwasasa ni kama mvua za masika itakuja kiangazi kutakua na vumbi. Hao Villa kwakua wana upepo sasa ivi huwezi niambia eti ni tittle contender katika game week 8. Watakata moto then warudi kwny nafasi zao
Hapo chelsea kamzidi mech moja aston
 
Relegator ni hao hapo had yatakapo tokea mabadiliko aston villa huwez kumuweka huko kwanza hata fom inambeba ktk kura za kushuka daraja anaweza kuwa sehem nzur zaidi ya hao hapo chini ina maana had chelsea anahusika kushuka daraja angalia mlivyokabana point tofaut ni jina chelsea yule aston villa unapata wap ujasiri wa kumuweka huko villa kwa fom ya sasa pia kwa kiwango cha sasa villa yupo vizur kishashinda mech kubwa mbili tena kwa uwiano mzur tu wa magoli na bado hawajayumba 7.....3 leicester city kachukua ubingwa akiwa katoka kwenye hali ya villa View attachment 1625656
Leicester hakuanza kuitwa bingwa ndani yamechi 10 za mwanzo.
 
Relegator ni hao hapo had yatakapo tokea mabadiliko aston villa huwez kumuweka huko kwanza hata fom inambeba ktk kura za kushuka daraja anaweza kuwa sehem nzur zaidi ya hao hapo chini ina maana had chelsea anahusika kushuka daraja angalia mlivyokabana point tofaut ni jina chelsea yule aston villa unapata wap ujasiri wa kumuweka huko villa kwa fom ya sasa pia kwa kiwango cha sasa villa yupo vizur kishashinda mech kubwa mbili tena kwa uwiano mzur tu wa magoli na bado hawajayumba 7.....3 leicester city kachukua ubingwa akiwa katoka kwenye hali ya villa View attachment 1625656
Mkuu haya mamtu kuyaelimisha yakupasa uingie na diclopa humu
 
anachofanya Villa kwasasa ni kama mvua za masika itakuja kiangazi kutakua na vumbi. Hao Villa kwakua wana upepo sasa ivi huwezi niambia eti ni tittle contender katika game week 8. Watakata moto then warudi kwny nafasi zao
Wewe sheikh Yahya? Leicester walisemaga hivihivi mwisho akautwaa ubingwa, soka halipo hivyo,
Ubishi ubishi tu
 
Mkuu kwani zile 7 zilikuwa za msimu uliopita?

Liverpool 2 Vs Aston Villa 7

Arsenal 0 vs Aston Villa 3

Aston villa ni kiboko wa Liverpool na Arsenal kawatandika kule kule kwako bila huruma
Kama huyo aliyetandikwa 7 wewe kakutandika 3. Yajayo yanafurahisha.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom