Mmeanza porojo zenu
Kwa nini asimpange Odoi
Kwa nini asimpange Drinkwater
Kwa nini asimpange Tomori
Kwa nini asimpange Barkley mpaka akaenda mkopo Aston Villa na kule anakiwasha?
Huu upuuzi wa kumsema kocha anawapendelea Waingereza bado iko tu midomoni mwa mashabiki wasio waelewa na wastaarabu, RUBBISH kabisa
Timu ikiwa haina majeruhi kabisa waingereza wanaopata namba pale ni wachache sana, wengi wao ni kutoka nje ya waingereza, Sasa mtu kama Pulisic yuko majeruhi Abrahama anapewa nafasi mnaanza kusema au ninyi ni Team Giroud
Kocha anampa muda mwingi Abrahama kwa sababu yeye ndie solution ya kudumu ya Hapo mbele tofauti na Giroud ambaye carrier yake ya mpira ndio inaelekea ukingoni