Hiki kitimu baada ya kumaliza kucheza na Relegators na kupata viushindi naona kumbikumbi zimejaa tayari sasa msako unaanza upya na watu watatangaza kuacha kuingia humu mpaka lampard afukuzwe.. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wengine watazamia kule siasani na chit chat kwa muda kama kawaida yao,
Na wachache kule jukwaa la mapishi, nitaanza kampeni ya kuwafokonyoa huko huko na kuwarudisha hapa,
Maana wengine walishaandika barua rasmi ya kuaga ila wamejirudisha kimyakimya bila utenguzi wa barua zao,... [emoji23] [emoji23] [emoji23] Attachments zinakuja........