Ila bora Puchetino kuliko Lampard.Puchetino sio Kocha wa makombe ni wa kutengeneza kikosi tu Bora Chelsea ibaki na Lampard tu Kama wanataka huyo kocha.Chelsea inahitaji kocha Aina ya allegri Kama inataka Mafanikio.
Ila bora Puchetino kuliko Lampard.Puchetino sio Kocha wa makombe ni wa kutengeneza kikosi tu Bora Chelsea ibaki na Lampard tu Kama wanataka huyo kocha.Chelsea inahitaji kocha Aina ya allegri Kama inataka Mafanikio.
Halafu mbona kama kaitwa timu ya taifa, na lampard anasema ni mgonjwa.
Huwez kuwa shabiki wa Chelsea wwUza Pulisic, nunua Son Min
Hii pia imenishangaza au huko yupo kwaajili ya matibabu?Halafu mbona kama kaitwa timu ya taifa, na lampard anasema ni mgonjwa.
Mzee baba unabidi ukamuone daktari your not ok.Uza Pulisic, nunua Son Min
Utakuaje Bora ikiwa makombe upatiIla bora Puchetino kuliko Lampard.
Sasa unavyoona pulisic na Son nani zaidi ya mwenzie?Mzee baba unabidi ukamuone daktari your not ok.

Hao watakupinga tu kwasababu wanajifanya wafia timu, ila Son ni mtu hatari sana huwezi kumcopare na pulisic huo ni ukichaaPULISIC MATCH STATS
BUNDESLIGA 2018/2019
Mechi alizocheza - 20
Mechi ambazo hakucheza - 14
EPL 2019/2020
Mechi alizocheza full - 19
Mechi alizotokea bench/Sub - 6
Mechi ambazo hakucheza - 13
EPL 2020/2021
Mechi alizocheza full - 2
Mechi alizotokea bench/Sub - 1
Mechi ambazo hajacheza - 5
Ni kweli niongeze kama hesabu zinakwenda hivyo basi son 1=pepe 89,willian 78 unaonaje hesabu mzee wa fituhi?Sasa unavyoona pulisic na Son nani zaidi ya mwenzie?
Jamaa katoa maoni yake na Son 1sawa na pulisic 20,huo ndio ukweli...![]()
Ni kweli niongeze kama hesabu zinakwenda hivyo basi son 1=pepe 89,willian 78 unaonaje hesabu mzee wa fituhi?
Inachoma kama pasi, nimehuzunika sana kuona mnafananisha Son jeshi na huyo kijana wa MOI! Hayo mengine ni yako ila mvumiliage ukweliPulisic anasumbuliwa na injury subiri awe fit uje na comparison yakoSasa unavyoona pulisic na Son nani zaidi ya mwenzie?
Jamaa katoa maoni yake na Son 1sawa na pulisic 20,huo ndio ukweli...![]()
Sijasema ni mchezaji mbaya ila kumlinganisha na Son ni kumdhalilisha SonPulisic anasumbuliwa na injury subiri awe fit uje na comparison yako
Nimeona isiwe kesi kubwa sana Tanzania yetu stress ni kujitakia tu na nina wasiwasi hapo kwa pepe idadi inaongezeka kulingana na ubovu wa willian, Willian akiwa mbovu sana pepe anahakikisha anampita ubovu kwa mbali.Naona mmeamua kutumia mfumo wangu 1 player equal to =
Eti pepe 89![]()
Karuhusiwa kurudi London ili aendelee kufanyiwa monitoring maana hata angebaki huko asingechezaHalafu mbona kama kaitwa timu ya taifa, na lampard anasema ni mgonjwa.
Ukitaka kichekesho Kama hiki tuma porojo kwenda 25542Sijasema ni mchezaji mbaya ila kumlinganisha na Son ni kumdhalilisha Son
Huyo Pulisic hata awe fit asilimia mia hawezi kumfikia Son, msijidanganye
Wewe nahisi ndio hauko sawa. Huwezi kuwaita watu relegator na wakati tuko match day 8. Kama ni hivyo basi msiwe mnalia lia tukiwaita Arsenal midtable team kwa nafasi mliyopo sasa.Kwani burnley anashika nafasi ya ngapi katika msimamo? Kwani lazima utetee ujinga.![]()
Mnatia uvivu kujibiwa, maana kwa mujibu wa msimamo wa ligi hao burnley na sheffield ni relegators kweli,
Mnaleta story za msimu uliopita nyie matakataka mpo sawa kweli kichwani,
View attachment 1624152
Tuko game ya 8 unawaita watu relegators?Kwa bahati mbaya tupo Season ya 2020/21
Aloo jibu zuri sana namimi nilifikiria hivi hiviHivi mzee umeelewa nilichokuwa namaanisha au unakulupuka .....sahv unawaita Burnley na Sheffield relegated teams na kwanza ni GW8 hivi una akili au ubongo umeota kutu.... West ham n Aston villa walispend muda wao mwingi chini lkn wakajinasua na kushuka daraja.......kwahyo msimamo wa sahv wa EPL timu NNE za juu umeshaconclude wale ndo top 4....? Au nyie arsenyeto mpo nafac ya kumi ni midtable team...?