Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wewe ni bichwa box, tunaongea habari za sasa unaleta habari za baadae wewe umekuwa sheikh Yahya? [emoji23] [emoji23] [emoji23].. Kwa sasa hizo timu hazijaonja hata ushindi mmoja, unataka tuziongeleeje? Zaidi ya kuziita Dhaifu ukizicompare na nyingine katika mashındano,


Hivi ukiwa cheltyako lazima utumie matyako kufikiria hata ktk mambo madogo,
Acha uboya wewe Sasa mmeziita dhaifu au relegated .?...
 
Acha uboya wewe Sasa mmeziita dhaifu au relegated .?...
Wewe bichwa maji unajua hata kwanini hizo timu tatu zimewekwa rangi nyekundu? [emoji23] Tatizo ni mtimu unaoshabikia
Screenshot_20201111-140448.jpg
 
Kai Havertz says he wants to measure himself against Frank Lampard’s success at Chelsea
 
Barkley huku kashindwa kun'gara kutokana na style plays anayofundisha Lampard na Sarr huwezi ukamfanya Barkley awe mpira pass Kama Xavi kwenye game.Strength ya Barkley Ni Kasi na counter attack ndio Aina ya mchezo wanaocheza Aston Villa ndio maana anapiga mpira mkubwa
Yaweza kuwa point
 
Former Spurs boss keeping close eye on Stamford Bridge in search for next job

Mauricio Pochettino is monitoring the managerial situation at Chelsea as he prepares for a return to the Premier League at some point in the future.
 
Former Spurs boss keeping close eye on Stamford Bridge in search for next job

Mauricio Pochettino is monitoring the managerial situation at Chelsea as he prepares for a return to the Premier League at some point in the future.
Vichwa maji. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom