Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Andres-Iniesta-Barcelona-v-Chelsea_2755362.jpg


Andres Iniesta puts Barca 2-0 ahead on the night, and 2-1 on aggregate


Pep-Guardiola-celeb-Barcelona-v-Chelsea_2755363.jpg


Pep Guardiola celebrates as his team appear to be closing in on a place in the final
 
To hell with Barcelona they were starting to be a disgrace in soccer.Always favoured by refs,always controversial decisions to their rescue.Well today it ddn't work out as they planned.Good performance by Chelsea.
 
Kwa kweli wanahitaji pongezi... panya kumwuua paka. Kuna jambo ambalo tunajifunza juu ya imani kati ya kocha na wachezaji wake na pia wachezaji wenyewe kwa wenyewe... Ingawa Terry alifanya koisa la kijinga..na kutolewa lakini naonekana ni mbinu ya barca maana historia inajirudia kwamba kila wanapokuwa na mchezo muhimu kwao mchezaji wa timu pinzani hutolewa kwa kadi nyekundu... rejea 2010 na Arsenal, 2011 na AC Milan na mwaka huu 2012 Chelsea!!!
 
To hell with Barcelona they were starting to be a disgrace in soccer.Always favoured by refs,always controversial decisions to their rescue.Well today it ddn't work out as they planned.Good performance by Chelsea.

leo wameaibishwa sana.....
 
pole sana ndugu Al Zagawi

Kumbe FA nawe unapitaga huku? Ndio mara ya kwanza kukuona, kama huna chama basi nina membership cards za Arsenal nikupitishie ili ujiunge na chama letu hapa jamvini? 🙂🙂
 
CONFIRMED: It will take time for Barcelona to............
They had their moment and now more likely to .........
 
Lionel-Messi-penalty-miss-Barcelona-v-Chelsea_2755393.jpg


Lionel Messi misses from the penalty spot, and Chelsea still lead on away goals


Barcelona-misery-v-Chelsea_2755396.jpg


Agony for Messi and co as Barca's dream of retaining the trophy starts to slip away
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom