Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tuna backline nyepesi kuliko shati la mlevi. Kukosekana kwa Silva na Mendy ni pigo sana kwetu. Hawa The Saints wanaleta mazoea sasa mwaka jana walitufunga nyumbani, jana wamedraw . Yan sisi wenyewe tunaufanya uwanja wetu mgumu kupata matokeo.
Kepa alistahili kucheza Championship na mwenzake Christensen na Tomori
Mwakani lazima Chelsea imnunue CB na Goal keeper wa kushindana na Mendy, Kepa hafai hata kushindana na Mendy
 
Hivi hakuna siku KEPA akikaa golini asifanye kosa la kijinga
 
Mashabiki wamkasirikia LAMPARD kuwaweka kikosini KEPA na Christensen

1602991768284.png
 
Ila pia sikupenda Jorginho acheze 90 minutes kwa sababu huwa hawezi. Siku Jorginho akicheza anacheza vizuri kipindi cha kwanza, akirudi cha pili anakuwa kachoka na Kocha haoni. Kipindi cha pili Southampton walitawala mpira sana kwa sababu ya Jo kuchoka
Pia jana nilimuona Kante akipoteza sana mipira
 
Kepa alistahili kucheza Championship na mwenzake Christensen na Tomori
Mwakani lazima Chelsea imnunue CB na Goal keeper wa kushindana na Mendy, Kepa hafai hata kushindana na Mendy
Mkuu usajili wa dirisha dogo January tunahitaji CB matured awachape vibao na makonzi kina Chris. Huwezi kufanya blunders kama zile mtu aendelee kukuchekea tu.

Hali ile inawachosha mafoward na inakata morali yao kuendelea kupambana
 
Timo alikua offerred kwa Klopp. Klopp akaambiwa fee ni 45M akasema ni nyingi akaachana na Werner, Chelsea wakamchukua.

Klopp akatumia 43M kumsajili Diogo Jota.

Nikaona Klopp miyeyusho kaacha ST aliyejiestablish kule Bundes kwa 45M halafu anatoa 43M kwa ajili ya Jota?

Fast forward mpaka leo.

Diogo Jota ana goli moja la ligi na Werner hana goli. Nasikia bado anazoea ligi.
Mkuu sema tena!!!

Ulichokisubiria umekipata jana kwa Timo na Havertz.

Nipe ripoti ya Willian na Auba
 
Mkuu sema tena!!!

Ulichokisubiria umekipata jana kwa Timo na Havertz.

Nipe ripoti ya Willian na Auba
Hahaha ungeniquote katika uzi niliosema kwamba timo ataperform vizuri akiwa kati.

Willian sijawahi kumuongelea chochote. Auba na yeye inabidi arudishwe kati. Katika games za jana ni NewCastle tu ndiyo waliruhusu goli ambalo mchezaji anatokea wing (likawa offside) naona mabeki wengi wamekua serious na magoli ya hivyo.

Anyway, nyinyi kinachowaponza ni huyo mdhamini. So mkidhaminiwa na 5G tutarajie nini?
 
Hahaha ungeniquote katika uzi niliosema kwamba timo ataperform vizuri akiwa kati.

Willian sijawahi kumuongelea chochote. Auba na yeye inabidi arudishwe kati. Katika games za jana ni NewCastle tu ndiyo waliruhusu goli ambalo mchezaji anatokea wing (likawa offside) naona mabeki wengi wamekua serious na magoli ya hivyo.

Anyway, nyinyi kinachowaponza ni huyo mdhamini. So mkidhaminiwa na 5G tutarajie nini?
Mkuu kipindi mnaanza judgements alikua anapngwa kotekote striker na wing
 
Mashabiki wamkasirikia LAMPARD kuwaweka kikosini KEPA na Christensen

View attachment 1603616
Mashabiki wa chelsea huwa hatukosi sababu pindi matokeo yanakuja tofauti huwa tunamgeukia kocha mara kwa mara siku mount asipoanza utaskia kwanini mount hakuanza siku akianzishwa utaskia why aanze

Kuna wengine wanalalamika y reec james ajaanza jana

Ila golin kuwepo kepa ni kama tunakuwa tunacheza huku goal liko wazi
 
Ila pia sikupenda Jorginho acheze 90 minutes kwa sababu huwa hawezi. Siku Jorginho akicheza anacheza vizuri kipindi cha kwanza, akirudi cha pili anakuwa kachoka na Kocha haoni. Kipindi cha pili Southampton walitawala mpira sana kwa sababu ya Jo kuchoka
Pia jana nilimuona Kante akipoteza sana mipira
Niliwahi kusema wiki chache zilizopita. Kadri muda unavyozidi kwenda ni kama kiwango cha Kanté kinapungua hasa umakini uwanjani sasa kabla mambo hayajaharibika ni kwa nini asiuzwe halafu hela itakayopatikana tukaleta wachezaji damu changa na wa maana kama Rice au Eduardo Camavinga

Sema hivi vitu vinaishia tu kwa sisi mashabiki ila kiuhalisia Kante tunaelekea kumpoteza kihasara japo katusaidia. Laiti ningekua kwenye board nawakaribisha PSG na Inter atleast ndio timu zinauhitaji mno wa DM kama Kanté.
 
Daaah Lampard atupishe hii ni aibu
Wakuu naomba tu discuss hapa najua nyie ni wafuatiliaji wazuri. Nyi mnahisi shida ya Lampard iko wapi mpaka mnasema ivyo? Labda pengine Lampard ndio amesababisha tukatoa draw au?
Kama ni mfuatiliaji mzuri wa mpira, basi utakua umeshatambua kuwa Lampard sio kocha wa kuipa timu epl wala uefa. Kiufupi hana mbinu za kutufikisha popote zaidi ya maximum nafasi ya nne. Na huu ndio ukweli hata watu wakipinga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom