Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Timo alikua offerred kwa Klopp. Klopp akaambiwa fee ni 45M akasema ni nyingi akaachana na Werner, Chelsea wakamchukua.

Klopp akatumia 43M kumsajili Diogo Jota.

Nikaona Klopp miyeyusho kaacha ST aliyejiestablish kule Bundes kwa 45M halafu anatoa 43M kwa ajili ya Jota?

Fast forward mpaka leo.

Diogo Jota ana goli moja la ligi na Werner hana goli. Nasikia bado anazoea ligi.
 
Kama striker ya chelsea ikikomaa fasta naona kwenye grup lake wakishika nafasi ya kwanza.

Ikiendelea kua hivi ilivyo itakua ngumu kutoboa
 
Huyu jamaa kaelezea vizuri kinachowakuta RLC na CHO ni mulemule alimopita Zouma. Hawa madogo tutawapa lawama sasa ivi ila ni suala la muda watarecover na kurudi kwenye ubora wao.
Screenshot_20201002-094829_1601631654228.jpg
Screenshot_20201002-094841_1601631718606.jpg
 
Timo alikua offerred kwa Klopp. Klopp akaambiwa fee ni 45M akasema ni nyingi akaachana na Werner, Chelsea wakamchukua.

Klopp akatumia 43M kumsajili Diogo Jota.

Nikaona Klopp miyeyusho kaacha ST aliyejiestablish kule Bundes kwa 45M halafu anatoa 43M kwa ajili ya Jota?

Fast forward mpaka leo.

Diogo Jota ana goli moja la ligi na Werner hana goli. Nasikia bado anazoea ligi.
Hujatoa maoni kama mwanamichezo umetoa kiushabiki tu. Labda nikwambie Klopp alishindwa kumsajili Werner kwa sababu aliona bei ni kubwa na siyo kwamba mchezaji ni mbovu. Pia kwa mimi ninayemjua Timo vizuri hata hanipi shaka kabisa kwa sababu kwa mechi alizocheza zinajieleza kabisa ni kwa namna gani ni hatari kwa timu pinzani ndio maana hakosi kuanza kila siku.

Ingekua vizuri ukafanya tathimini ya bwana comrade K kuliko kumjadili Timo. Mnamuhofia sana siyo?
 
Hujatoa maoni kama mwanamichezo umetoa kiushabiki tu. Labda nikwambie Klopp alishindwa kumsajili Werner kwa sababu aliona bei ni kubwa na siyo kwamba mchezaji ni mbovu. Pia kwa mimi ninayemjua Timo vizuri hata hanipi shaka kabisa kwa sababu kwa mechi alizocheza zinajieleza kabisa ni kwa namna gani ni hatari kwa timu pinzani ndio maana hakosi kuanza kila siku.

Ingekua vizuri ukafanya tathimini ya bwana comrade K kuliko kumjadili Timo. Mnamuhofia sana siyo?
Exactly ndiyo nilichosema kwamba alisema gharama kubwa au kuna sehemu nimesema alisema werner hana kiwango?
 
Hujatoa maoni kama mwanamichezo umetoa kiushabiki tu. Labda nikwambie Klopp alishindwa kumsajili Werner kwa sababu aliona bei ni kubwa na siyo kwamba mchezaji ni mbovu. Pia kwa mimi ninayemjua Timo vizuri hata hanipi shaka kabisa kwa sababu kwa mechi alizocheza zinajieleza kabisa ni kwa namna gani ni hatari kwa timu pinzani ndio maana hakosi kuanza kila siku.

Ingekua vizuri ukafanya tathimini ya bwana comrade K kuliko kumjadili Timo. Mnamuhofia sana siyo?
Comarde k ndiyo nani huyo?
 
Aaah blaza unajitoa ufahamu kwamba ushamsahau?

Okqy basi, mchezaji mliyemchukua kwetu ambaye amekuja kuchukua namba yake uyo Comrade K. Najua ushamfahamu
Anhaaa yule jamaa aliyetoa assisst kwa Aubameyang ile siku ya fainali ya FA? Tukawapiga 2 kwa 1
 
Goli 18 katika mechi ngapi?
Hehehe msimu mzima Hazard kuscore zaidi ya goli 15 ndiyo ulikua wa mwisho Chelsea. Mkawabambika Madrid maskini.

It's the league that counts. Lampard alisaini misimu 3 unahisi ataongezewa muda?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom