lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,692
- 25,907
Mimi huwa sikurupuki kuweka taarifa za uongo ila wewe kwa kukurupuka bila hata kutafiti umeibuka na suala la coronaAcha uongo wewe Alcantara anasumbuliwa na corona sio fitness issues kama ulivyoandika, hii tabia ya kujidai mnajua kilakitu ndio inawaumbua
Nimeweka na ushahidi kauli ya Klopp suala la corona lilikuja baadaye
Fitness issue ilikuwa Game na Arsenal alishindwa kucheza kwa sababu hakuwa fit jtatu ya tarehe 28/9 na Tarehe 29/9 ndio masuala ya Corona ikaingia