Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Acheni kujidanganya timu hamna na ashukuriwe Refa mlikuwa mnakufa kabisa Kenge nyie.
 
Hahahahahahahahah Na bado mnakalia ya Liverpool yakwenu yanawashinda.
 
Kelele nyiingi Amna kitu ,,, !!! Mmesajili timu nzima lkn lamps haeleweki Ni mfumo gani anatumia,,,, back line bado kazi ipo, mnatoboka tu

Ziyech huyu anaeruka ruka ndo mlimpigia kelele kwamba akirudi atakua faya
 
Kepa nae fala si angedaka na mikono mpira uliogonga mwamba badala ya kutaka kuclear kama beki.

2nd goal Southampton.

Japo me Man U fan ila naona kepa hayupo golini kabisa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom