Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nawapa angalizo nyie Cheltako kuanzia leo mnatakiwa kutambua timu hamna kwahiyo mtulize mishono Acheni kelele.
 
3 - 3
20200728_175331.jpeg
 
Huyu Christensen sijui Lampard anampendea Nini? Sijawahi kuona siku yupo kwenye performance pale beki ya kati Ni Zouma na Silva basi
 
Chelsea kinachowaponza sio Kepa. Tatizo ni Jersey yenu.
Jaribu kufikiria tangu msimu huu uanze kuna goli ngapi zenye uhusiano na 3 either mmefungwa, mmeshinda au kutoa sare?
 
Tuna backline nyepesi kuliko shati la mlevi. Kukosekana kwa Silva na Mendy ni pigo sana kwetu. Hawa The Saints wanaleta mazoea sasa mwaka jana walitufunga nyumbani, jana wamedraw . Yan sisi wenyewe tunaufanya uwanja wetu mgumu kupata matokeo.
 
Chelsea badala ya kutumia fursa hii Liver na Man city hawako kwenye form ya mwaka jana na juzi kushindania kombe wanaanza kudroo kiholela kweli
Natumaini watajirekebisha mapema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom