Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kepa hafai hata kuwa gk no 2 kwa sasa

Kila mechi atakayocheza lazima kuna kosa atafanya ambalo litazaa
beki ikijichanganya tu basi unajua tayar hapa tushafungwa

Kepa unakuta hata kuficha makosa ya mabeki ye hawezi
 
Niliwahi kusema wiki chache zilizopita. Kadri muda unavyozidi kwenda ni kama kiwango cha Kanté kinapungua hasa umakini uwanjani sasa kabla mambo hayajaharibika ni kwa nini asiuzwe halafu hela itakayopatikana tukaleta wachezaji damu changa na wa maana kama Rice au Eduardo Camavinga

Sema hivi vitu vinaishia tu kwa sisi mashabiki ila kiuhalisia Kante tunaelekea kumpoteza kihasara japo katusaidia. Laiti ningekua kwenye board nawakaribisha PSG na Inter atleast ndio timu zinauhitaji mno wa DM kama Kanté.
Declan Rice anatakiwa haraka sana
 
Mashabiki wa chelsea huwa hatukosi sababu pindi matokeo yanakuja tofauti huwa tunamgeukia kocha mara kwa mara siku mount asipoanza utaskia kwanini mount hakuanza siku akianzishwa utaskia why aanze

Kuna wengine wanalalamika y reec james ajaanza jana

Ila golin kuwepo kepa ni kama tunakuwa tunacheza huku goal liko wazi
Kwa reece no, Azpi alimiliki eneo lake vizuri, aliyelemewa jana ni Ben Cillwell, mashabulizi karibu yote yalipitia kwake
 
Wakuu naomba tu discuss hapa najua nyie ni wafuatiliaji wazuri. Nyi mnahisi shida ya Lampard iko wapi mpaka mnasema ivyo? Labda pengine Lampard ndio amesababisha tukatoa draw au?
Kwangu lampard anamakosa yake ila defence yetu inafanya mistake za hovyo ambazo zinatucost mechi hii wanacheza vizuri mechi ijayo wako hovyo na kibaya zaid defence ikifanya makosa tu na kepa hawez kuyaficha or kuyasahihisha hayo makosa lazima tutopigwe,

Ndio ni ngumu kwa mabeki kucheza 38 games bila kufanya makosa ila bek zetu zimezid


Ni mda wa lamps kwenda na
Mendy
Azp t.silva zouma chil kama wakiwa fit wote
 
Tuna backline nyepesi kuliko shati la mlevi. Kukosekana kwa Silva na Mendy ni pigo sana kwetu. Hawa The Saints wanaleta mazoea sasa mwaka jana walitufunga nyumbani, jana wamedraw . Yan sisi wenyewe tunaufanya uwanja wetu mgumu kupata matokeo.
Siumeona huyo mount alichokifanya Jana me nilikuambia Pulisic kabadilishwa position kwa sababu ya huyo mount ndio maana kuonekana Hana impact kubwa, Lampard sijui anampendea Nini takataka Christensen
 
Umesaidia kuzalisha magoli yote matatu jana. Werner mawili akatoa na assist kwa Kai.

Kwenye Back line hakuwepo Mendy wala Silva. Chilwell alitoa assist kwa Werner goli la kwanza.
Wala mil 200 hazikuenda bure, kinachotuadhibu ni kwamba manunuzi hatukumaliza, bado tunatakiwa kuingia sokoni. Man city walitumia mil zaidi ya 400, Liverpool zaidi ya 350 sasa sisi wa mil 200 tu ni nini hapo?. Chelsea inatakiwa kununua tena kwa kutumia mil 200 kwenye GK, CB hata wawili, LB wa kusadidiana na Chilwell, DM (Target Declan Rice) world class wa sio chini ya mil 60 ili ikitokea majeruhi kama ya Mendy timu iendelee kucheza. Wee angalia Liverpool wanavyoteseka kwa sababu tu Alisson kaumia wamemuweka Pazia pacha wake na Kepa
 
He lacks tactics za ku-manage big team, kwanza mpaka sasa hajui first eleven yake. Anapanga timu kuwafurahisha waingereza au baadhi ya wachezaji wakati wamezidiwa kwa mbali sana na wachezaji waliopo benchi.

Pili mechi kama ya jana, umeshaona umepoteza uongoz wa magoli mara mbili (maana yake beki hazipo sawa). Ukaongeza goli la tatu, kilichomfanya dakika ya 80-90 asiingize beki mwingine ni nini?

Ukimtetea lampard kwa kikosi hiki basi utakua sio mfuatiliaji mzuri wa mpira. Mechi 5 ameshapoteza point 7 maana yake kwa wastani huo basi atapoteza points si chini ya 50 kwa msimu. Wakati msimu uliopita liverpool alipoteza points 15 tu ndio akawa bingwa.

Kwa uwekezaji wa wachezaji uliofanywa haitakiwi uwe na kocha wa majaribio kama lampard.
 
Mkuu usajili wa dirisha dogo January tunahitaji CB matured awachape vibao na makonzi kina Chris. Huwezi kufanya blunders kama zile mtu aendelee kukuchekea tu.

Hali ile inawachosha mafoward na inakata morali yao kuendelea kupambana
Tena anayejua kiingereza maana naona Silva akifoka kwa Kifaransa hawamuelewi
 
Wakuu naomba tu discuss hapa najua nyie ni wafuatiliaji wazuri. Nyi mnahisi shida ya Lampard iko wapi mpaka mnasema ivyo? Labda pengine Lampard ndio amesababisha tukatoa draw au?
Game plan ya kuwin back balls hakuna yaani unakuta opponent anarun na mpira miguuni kwa watu wanamtazama tu, akuna pressing ya maana wala quick movement ya kunlock defence, matatizo ya set pieces bado hayana ufumbuzi kweli mabeki ni tatizo na hawana confidence ya kucheza high lines why kocha analazimisha mfumo usioendana na resources, yaan ukitaka umkingie kifua Lampard ni kutumia paund zaid ya mil 100 kuoverhaul na kuleta wachezaji wapya 5
 
Niliwahi kusema wiki chache zilizopita. Kadri muda unavyozidi kwenda ni kama kiwango cha Kanté kinapungua hasa umakini uwanjani sasa kabla mambo hayajaharibika ni kwa nini asiuzwe halafu hela itakayopatikana tukaleta wachezaji damu changa na wa maana kama Rice au Eduardo Camavinga

Sema hivi vitu vinaishia tu kwa sisi mashabiki ila kiuhalisia Kante tunaelekea kumpoteza kihasara japo katusaidia. Laiti ningekua kwenye board nawakaribisha PSG na Inter atleast ndio timu zinauhitaji mno wa DM kama Kanté.
Hapa tutasajili kwanza beki january or dirisha kubwa atakae kuja kucheza na thiago
Kuwategemea wakina zouma na christensen pale thiago anapokuwa hayupo tutakuwa tunapata matokeo tulio yapata jana
 
Kwangu lampard anamakosa yake ila defence yetu inafanya mistake za hovyo ambazo zinatucost mechi hii wanacheza vizuri mechi ijayo wako hovyo na kibaya zaid defence ikifanya makosa tu na kepa hawez kuyaficha or kuyasahihisha hayo makosa lazima tutopigwe,

Ndio ni ngumu kwa mabeki kucheza 38 games bila kufanya makosa ila bek zetu zimezid


Ni mda wa lamps kwenda na
Mendy
Azp t.silva zouma chil kama wakiwa fit wote
Kwa nini Lampard asimchezeshe Azpi kwenye RCB wa kulia na Reece achukue nafasi yake ya RB?. It is high time to getrid of Christensen kabisa aonekane tu Karabao CUp na FA mechi za mwanzoni
 
Na mnaolaumu kepa na mabeki huwa mnaangalia vizuri mechi? Wana mapungufu yao sikatai lakini zile back passes huwa zinawapa sana presha mabeki.

Mwisho wa siku tunarudi pale pale, mbinu hana lampard
 
Na mnaolaumu kepa na mabeki huwa mnaangalia vizuri mechi? Wana mapungufu yao sikatai lakini zile back passes huwa zinawapa sana presha mabeki.

Mwisho wa siku tunarudi pale pale, mbinu hana lampard
Sasa kama vile vipass vya vile vinawapa pressure je wangekuws wanakutana na mipira anayokutana nayo neur kutoka kabisa golin sindio wangekuwa wanachoma kila kukicha
 
Hapa tutasajili kwanza beki january or dirisha kubwa atakae kuja kucheza na thiago
Kuwategemea wakina zouma na christensen pale thiago anapokuwa hayupo tutakuwa tunapata matokeo tulio yapata jana
Bado Zouma ni CB wa kutegemewa kwa sasa labda ashuke kiwango, Mistake ya jana kama umefuatilia ni minimal kabisa. Aliyefanya blunfder kubwa ni Kepa anayezuia mpira utafikiri tenesi. Zouma kaupiga mpira weak lakini ulimfikia Kepa kwa muda muafaka, yeye akapishana nao, alipoufuata tena badala ya kuucheza kwa mkono akweka sarakasi
 
Na mnaolaumu kepa na mabeki huwa mnaangalia vizuri mechi? Wana mapungufu yao sikatai lakini zile back passes huwa zinawapa sana presha mabeki.

Mwisho wa siku tunarudi pale pale, mbinu hana lampard
Hakuna siku duniani Kocha kapewa sifa nzuri akifanya vibaya, hata aje kocha mzuri namna gani akiboronga atatukanwa tu!
Lampard ni future good coach. Tujue kuwa yeye bado ni mchanga ndio anaanza na namuona kama atapaa ndani ya muda mfupi kuja kuwa kocha mnayemtaka
Kwa sasa weakness kubwa iko kwenye defense anatakiwa kuishauri board imuajiri kocha mzuri wa mabeki kwa sababu kocha hawezi kluwa kila idara
 
Siumeona huyo mount alichokifanya Jana me nilikuambia Pulisic kabadilishwa position kwa sababu ya huyo mount ndio maana kuonekana Hana impact kubwa, Lampard sijui anampendea Nini takataka Christensen
mount ni utopolo kabisa
kazi kukimbia kimbja tu hovyo yule anafaa either anzie benchi ama acheze dakika 45 tu
 
Cheltako big 4 mutaisikia kwenye Redio tu.
Fukuzeni kocha na wachezaji wote muanze upya.
 
Na mnaolaumu kepa na mabeki huwa mnaangalia vizuri mechi? Wana mapungufu yao sikatai lakini zile back passes huwa zinawapa sana presha mabeki.

Mwisho wa siku tunarudi pale pale, mbinu hana lampard
kwa nn wapige back pass huku wanajua kabisa uwezo wao wa kuhandle presha n mdogo ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom