Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1600939386982.png
 
Nicolas Pepe.

Huu ni msimu wake wa Pili.

Msimu wake wa kwanza amekua involved katika magoli 18.

Anamzidi Torres.

Hayo magoli ni ya Europa na kwenye ligi.

Kai kaifunga kirahisi Barnsley kwa Brighton alitia aibu na kwa Liva akatia aibu akatolewa. Kepa roho ikamuuma akacompensate kwa kutoa assisst.
We kweli arsenyeto kk...kwahyo kai alitolewa kwasababu alitia aibu game y liver au tulihitaji ingizo LA defender baada ya ile red card? Mbona comrade kipepe hatujamuona akifunga kwenye game rahis za msimu uliopita...?
 
Wengine walijifungia ndani.

Wengine walikua wanatukana kocha.

Wengine wakasema Havertz anarukaruka.

Sasa wameshinda.

Wote wameibuka.

Kuna mmoja anauliza kama Barnsley wanacheza golf... Hahaha sasa Simba ikicheza na KwaKopa FC ikawafunga halafu wakishangilia utawachukuliaje Simba?
Majibu mnayapata sasa mnaanza kuongea wenyewe na mtajijibu wenyewe. Havertz mumponde wenyewe leo mnaanza kusema sisi ndio wapondaji. Tumecheza mechi mnaanza kuita timu ndogo nikauliza hata kama ni timu ndogo si wote wanacheza mpira maana mlivyoongea ni kama wale Barnsley hawakua kwenye field yao labda wao ni wacheza golf ndio maana tumewafunga 6
 
Bila shaka Chelsea naamini hatujapigwa kwa mendy
Mmepigwa

Ni swala la muda tutakuja hapa kuwaeleza kama ilivyokuwa kwa kepa ,

Uliona lini ndan ya miaka 10 kipa muafrika EPL tena big 6?

Kipa wa mwisho aliyesumbua na ni muafrika alikuwaga Liverpool miaka hiyo

Mtakuja hapa kulalamika mrudi tena sokoni kusaka kipa
 
Arteta alisema ataichukulia hii game serious hatodharau hiki kikombe maajabu yake katika kikosi akamuanzisha Luiz aliyetoka majeruhi, akarisk kwa kumuweka kipa pekee stable tuliyenaye Arsenal.

Willock akapata namba. Nketiah akaanza.

Kwenye benchi la sub Aubameyang hakuepo, Gabriel hakuepo, Tierney hakuepo, Ozil hakuepo, Guendouz hakuepo.

Halafu anaenda kucheza na Leicester.

Hahaha Chelsea anacheza na Barnsley akapanga kikosi hichi.

1: Caballero
2: Azpilicueta
3: Tomori
4: Thiago Silva
5: Emerson
6: Kovacic
7: Barkley
8: Mount
9: Havertz
10: Hudson Odoi
11: Tammy

Subs;
Baxter, Zouma, Chillwell, James, Jorginho, Giroud.

Naomba mumuulize Arteta yeye na Lampard nani yupo Serious.
Majina yamekudanganya hapo. Regular starter wetu ni Azpilicueta napo ni mechi ya kwanza toka injury, Kovacic, Tammy na Mount. Kante, Werner na Christensen hawakuwepo kwenye squad.

Hapo Ziyech, Pulisic Gilmour hawajarudi. Ndugu kama majina yameanza kukupa wenge ivi wakirudi miamba wenyewe si mtabaki midomo wazi. Hapo ndio mnaanza kuelewa maana squad depth. Ngoja timu iendelee kuelewana.
 
Mmepigwa

Ni swala la muda tutakuja hapa kuwaeleza kama ilivyokuwa kwa kepa ,

Uliona lini ndan ya miaka 10 kipa muafrika EPL tena big 6?

Kipa wa mwisho aliyesumbua na ni muafrika alikuwaga Liverpool miaka hiyo

Mtakuja hapa kulalamika mrudi tena sokoni kusaka kipa
Waganga wa kienyeji mchwara utawajua tuu 🤔🤔🤔
 
Mchezaji ambaye amenunuliwa kwa pesa kubwa akifika na kutoiishi gharama aliyonunuliwa katika ligi hua anawekwa kwenye games za makombe kama Carabao hivi ili kujaribu kurudisha confidence yake.

Mchezaji wa gharama ya juu kabisa katika new signings zako ana succesful passes chache kuliko assissts za Harry Kane huyo anastahili kuwemo kwenye kikosi kinachocheza Carabao.

Swali ni je? Akishapiga hat trick anastahili hype ya kiwango hichi? Tena against Burnsley?

Na ukumbuke kwamba Harry Kane ni ST. So hii new signing kulingana na position yake alitakiwa awe anamzidi ST kwa assisst.
Ndio maana hata jana Comrade Kipepe alianza first eleven yenu
 
We kweli arsenyeto kk...kwahyo kai alitolewa kwasababu alitia aibu game y liver au tulihitaji ingizo LA defender baada ya ile red card? Mbona comrade kipepe hatujamuona akifunga kwenye game rahis za msimu uliopita...?
Haka kashkaji kameamua kuandika matusi.

Itaje game rahisi ambayo hakuscore.
 
Majina yamekudanganya hapo. Regular starter wetu ni Azpilicueta napo ni mechi ya kwanza toka injury, Kovacic, Tammy na Mount. Kante, Werner na Christensen hawakuwepo kwenye squad.

Hapo Ziyech, Pulisic Gilmour hawajarudi. Ndugu kama majina yameanza kukupa wenge ivi wakirudi miamba wenyewe si mtabaki midomo wazi. Hapo ndio mnaanza kuelewa maana squad depth. Ngoja timu iendelee kuelewana.
Tangu msimu uanze hii ni game ya pili. So judging ya anayeanza na asiyeanza tunaifanyia kwa previous season.

Ila kwakua umesema timu yenu haielewani ngoja tuone wakielewana itakuaje.
 
Mendy, amefika na tayari watu wapo hyped na ujio wake. Mwokozi amefika au siyo?

Beki ni Zouma na Tomori bado?

Ligi aliyotokea inakupa imani ya kumuacha golini kwa haraka? Now tusiangalie ligi, tuangalie takwimu.

Goals Conceded:
- Mendy = 0.79
- Kepa = 1.41

Post Shot Goals
- Mendy = +1.7
- Kepa = -9.6

Crosses Stopped
- Mendy = 10.2%
- Kepa = 7.2%

Save
- Mendy = 78.4%
- Kepa = 54.5%

Bonasi ni kwamba Mendy akiwa na mpira miguuni anakua na utulivu kuliko Kepa.

Lakini tukumbuke ligi ya ufaransa ilimalizwa haraka kutokana na corona so stats zingeweza kupanda au kushuka kwa Mendy.
Na pia inaonyesha kwamba Kepa alikua akiexperience mashambulizi na mashuti kuzidi Mendy.

Pia Mendy atakuta mabeki wamebadilika so inaweza kuijaza CV yake positively.

Chelsea ililipa 72M kwa ajili ya Kepa. Kwa kilichotokea imekua somo tosha hivyo wameogopa kurisk tena na kutoa pesa zaidi kwa ajili ya Oblak and the likes na kuamua kusettle kwa Mendy mwenye price tag ya 15M.

So hofu ya kuinvest kipuuzi itakua imeinfluence hii deal kuliko chochote. Hope atashine tho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom