Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,611
Guardiola ameahidi mvua ya magoli.
Nanu kuu maneno, "Tutawafunga Chelsea utadhani hakuna golkipa mlangoni".
Mimi langu jicho tu, baada ya kichapo cha juzi ni haki yao kumalizia kisasi kwa wanyonge wao.
Wanaotaka kuuona (mpira) lakini kwa Kispanish, WABOFYE HAPA
duh! kumbe guardiola anabonga kiswahili!