Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pamoja na kubebwa............Barca leo hawabebeki

Messi kakosa penati..........lol!
Mkuu kama unaangalia mpira huu ninaouona, hakuna hata sehemu moja mtu kabebwa

It was a red card and it was a penalty.... tuache ushabiki mandazi
 
Messi missed a penalty...unbelievableeeeeee!! kweli leo Chelsea wameshapitaaaa!
 
aliyekuambia huyo mbrazili nani.? Mara ngapi tumeshuhudia wabrazili wakijiangushu bila sababu. Rivaldo sio mbrazili alie chezewaga faulo ya mguu akamdanganya refa amepigwa kichwa.
Usikurupuke mkuu....

Kwani Ramires ni Raia wa nchi gani?....

Huku mtaani kwetu kuna kamsemo kwamba 'Wabrazil huwa hawadanganyi' kwamba magoli yao huwa hayana zengwe...Kama hili la Ramires.....Ni goli tamu kuliko hata hayo ya Barca....


3ramires.jpg

http://en.wikipedia.org/wiki/Ramires
 
....Hahahahahah lol! Miguu baja ndio maana kakosa LOL!....lakini usihofu referee wenu atawapeni nyingine...mshindwe wenyewe.


Hahaha anatoa zimekuwa karanga ilikuwa halali bana. Nimeshaanza kuishiwa pumzi lol!!!
 
Hawa Barca nao vyenga twawala zimezidi. Hawapigi hata mashuti ya mbali. Ngoja wake watolewe ndo watalijua jiji.
 
Hahaha anatoa zimekuwa karanga ilikuwa halali bana. Nimeshaanza kuishiwa pumzi lol!!!


We subiri tu B dkk zinavyoyoma na magoli kama yanabaki hivi basi ataguswa mcheza wa BARCA maeneo ya hatari na Refa atawapa tena kwa mara nyingine maguu 12 ya mtu mzima mwenye akili timamu 🙂🙂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom