Barca wanabebwa bana.....
Huku kwetu wanawaita Uefalona....
ayaaa decoder hapa imezingua nimeamua kuhamia JF, updates please
Usikurupuke mkuu....
Kwani Ramires ni Raia wa nchi gani?....
Huku mtaani kwetu kuna kamsemo kwamba 'Wabrazil huwa hawadanganyi' kwamba magoli yao huwa hayana zengwe...Kama hili la Ramires.....Ni goli tamu kuliko hata hayo ya Barca....
![]()
Ramires - Wikipedia, the free encyclopedia
dkk ya 66 BARCA 2 Chelsea 1
Hahahaha B naona unamalizia hasira zako hapo
Kuna hatari kwa nyodo na chenga nyingi kutawagharimu sana Barca.
Mimi ningependa Barca wafunge tupate "Clásico" nyengine wao na R. Madrid.