Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

B unasemaje


....Poa tu B leo naona tuko pande tofauti LOL! itakuwa poa sana mkipoteza mechi ya leo...Ila kwa kuwa Chelsea wako 10 basi baada ya HT mtashambulia kama nyuki na si ajabu mkapata hata mawili zaidi.
 
Ramires Santos do Nascimento....

Wabrazil huwa hawadanganyi bana....

What a goal......

Pamoja na Barca kubebwa....Leo jirani zangu Chelsea lazima wawafanyizie



 

....Poa tu B leo naona tuko pande tofauti LOL! itakuwa poa sana mkipoteza mechi ya leo...Ila kwa kuwa Chelsea wako 10 basi baada ya HT mtashambulia kama nyuki na si ajabu mkapata hata mawili zaidi.

Khaaa umenikimbia ghafla hakuna kupoteza B ushindi lazima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom