Pole , next match mpo na kina naniMpira ni mchezo wa kamari.
Mpira ni mpango. Ukizidiwa ujanja unaliwa. Naamini kocha wetu amejifunza kuwa pl haitaji majaribu. Next match atapanga kikosi kizuri.
Wasisahau pia kunawa kwa maji tiririka na sabuni na kufuata taratibu zilizotolewa na serikalipoleni kwa kichapo. Kuna mdau wenu mmoja hivi ana maneno mengi kama mzaramo wa msanga anajiita Ollachuga Oc naomba mumfikishie salam zangu toka kule jukwaa la machampion wa epl.
Alikula kiapo kwamba hatakanyaga tena ile mitaa ya kops kama atapata kipigo leo.
Muwe na usiku mwwma. October 28 msisahau kwenda kupiga kura kwa wingi na kumpa Lissu kura za ndio.
UHURU HAKI NA MAENDELEO YA WATU
Unataka kusema mngetufunga jana [emoji7][emoji7][emoji28]Unaandika pumba mno leo ngoja nikurekebishe wewe mzee wa Arse8. Timu iliyopanda daraja imepata goli 3 kwa Liver na timu iliyokuwepo ligi kuu imeshindwa kupata kwa maelezo yako Leeds ni bora kuliko Chelsea? Nawewe unasimama mbele ya wanaume unakaza msuli wa matako unaongea huu utumbo? [emoji23][emoji23][emoji23]
Dogo kila game approach zinatofautiana. Mimi nikicheza na wewe sivyo nitakavyo cheza na nyumbu au Man city. Liver wamekuja kupata goli baada sisi kupunguzwa, pia kipa wetu ni moja kati ya watumishi hewa EPL ndipo Liver walipofanikiwa hapo.
Baba Swalehe maswali gani haya unauliza? Kwanini nisikufunge? Mara ngapi nimekufunga?Unataka kusema mngetufunga jana [emoji7][emoji7][emoji28]
Sasa anaejitoa fahamu ni nani kati ya mimi na wewe?
Kwanza swali la kwanza hujajibu umerukia swali la pili..
Na hiyo swali la pili hujaongelea kuhusu viungo uliowasema hapo mwanzo, umeongelea huyo CB tu.. Vipi kuhusu viungo?
Toa maelezo yaliyokamilika, usiruke ruke tu!
[emoji23][emoji23] labda iwe hivyo maana si kwa utopolo ule!Kuhusu viungo musiwe na wasi, nitamshauri Abrahimobich awanunulie, Nyanya ndimu na pili pili.
Atakuwa sub ya R. Alex na Macey [emoji23][emoji23][emoji23]Tuna mpango wa kutuma Ofa ya £2m kwa Kepa ,atusaidie Europa na carabao
Haahaaa Mpigeni na brightonina maana wewe ulishasahau hao Westham walikufanya nini?sasa tumekupiga wewe na huyo mbabe wako Westham
Nyinyi si washambenga! Au haujui hilo?Hivi hili ni jukwa Letu Arsenal?? Wenyeji wamekimbia