Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,787
- 2,233
Kocha yule mwepes sana LAMPARD HAJUI ANACHOKIFANYA YULE ANAJIFANYA DAZ NUNDA MGUMU WAKATI TIMU YKE MBOVU KAI NYORO NYORO SANAA EPL YULE ANAKUWA KAM MUSONDAKwahyo wewe unaona kulikuwa hamna haja ya kusajili....!? Na kikosi kile cha msimu uliopita.....mbona mnajudge ndo kwanza game ya 2 na si game ya 38 mshaanza kutoa lawama....kikosi cha Leo sajili zote zimecheza?