BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 6,417
- 12,987
Karavati ile wamepigwa kamari [emoji2]Klop aliwambia Chelsea wanasajiri sajiri ovyo tu
wakamwona mropokaji [emoji23][emoji23]
Karavati ile wamepigwa kamari [emoji2]Klop aliwambia Chelsea wanasajiri sajiri ovyo tu
wakamwona mropokaji [emoji23][emoji23]
Jamaa alimdandia mane kama anadandia Farasi [emoji23]
Wana chelsea wenzangu hatuna hata cha kujifariji
Kwani tulikuwa na lengo la kumfunga Liva?
Hata hivyo tulicheza vizuri, wachezaji 10 halafu wakatubahatisha 2 tu!!
Tukiisha zoeana, wote tukawa wazima, wataisoma namba, hata kama ubingwa hatushindanii ila mpira tutaucheza
Msimu ujao wa 2021/22 tukikamilisha usajili wa viungo na CB, UBINGWA ni wetu mwanzoni mwa ligi
Wew ni chelsea, unajifchaa. [emoji3]Mapunda yalee hamna timu paleee....!! Nilitaka nihamiw chelsea kumbe nao wale waleee....
Ndio walivyo mashabiki wa The blaus na washika manati, timu zao ziki fungwa wanazikataa.Wew ni chelsea, unajifchaa. [emoji3]
Huyo jamaa analalamikaga kila mechi wanaonewaMe nashangaa Sana.. Kuna Wa2 Sijui mpr wanauangalia vp.. Ww ukacheze rugby vile..hutegemee refa atakuacha na ni M2 wa mwsh.. Aliye pewa Kadi ametoka kiroho safi..m2 analeta mjadala eti kaonewa
Wewe ,mm Ni mtu mwingine kabisa , mlianza kutuwangia toka kwa man city had WembleyNa ww subiri kiama chako kesho kutwa co mbali.
Kivipi?Ukimtoa werner na havertz waliosalia ni tim ile ile ya msim uliopita
Subir walioko injury warudi then ndio uanze kutoa maoni yako
Btw huwezi cheza mpira with 1CB
Kwahyo hata kama mpira haupo ni sahihi kumvamia mtu hvyo?Weka picha ambayo ina mpira na kipa alikua keshatokea.
Unaandika pumba mno leo ngoja nikurekebishe wewe mzee wa Arse8. Timu iliyopanda daraja imepata goli 3 kwa Liver na timu iliyokuwepo ligi kuu imeshindwa kupata kwa maelezo yako Leeds ni bora kuliko Chelsea? Nawewe unasimama mbele ya wanaume unakaza msuli wa matako unaongea huu utumbo? [emoji23][emoji23][emoji23]
Dogo kila game approach zinatofautiana. Mimi nikicheza na wewe sivyo nitakavyo cheza na nyumbu au Man city. Liver wamekuja kupata goli baada sisi kupunguzwa, pia kipa wetu ni moja kati ya watumishi hewa EPL ndipo Liver walipofanikiwa hapo.
Mkuu Arsenal ana timu nzuri sana msimu huu kuliko Man u, Spurs, nawaona Top 4 kabisa.Wewe ,mm Ni mtu mwingine kabisa , mlianza kutuwangia toka kwa man city had Wembley
Mkisajili na kocha pia ubingwa ni wenu[emoji1787]Wana chelsea wenzangu hatuna hata cha kujifariji
Kwani tulikuwa na lengo la kumfunga Liva?
Hata hivyo tulicheza vizuri, wachezaji 10 halafu wakatubahatisha 2 tu!!
Tukiisha zoeana, wote tukawa wazima, wataisoma namba, hata kama ubingwa hatushindanii ila mpira tutaucheza
Msimu ujao wa 2021/22 tukikamilisha usajili wa viungo na CB, UBINGWA ni wetu mwanzoni mwa ligi
TAKATAKA KAMA TAKATAKAForget about competing for titles as long as Lampard is the coach.! Great player but clueless as a coach.